Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Wakuu huko kuna mmiminiko wa watu nimefika na kujionea.watu ni wengi mno.kwa wanaohitaji kwenda unapanda gari mpaka arusha ama Dar express iendayo karatu unashukia mto wa mbu,kesho yake alfajiri kuna landcruisers za tours zinaelekea huko kwa nauli ya 50,000 kwenda na kurudi..safari inachukua wastani wa masaa sita kufika,ni barabara ya vumbi,unapita Engaruka then Oldonyo lengai ule mlima wenye volcano hai then mnapita engare sero kwenye nyayo za watu wa kale na kupita ziwa la magadi..Natron.huo wote ni ukanda wa bonde la ufa nyuma ya ngorongoro crater.
ukifika hapo babu anatoa historia ya ugunduzi wake kisha anatoa sala kama dk chache then anatoa dawa ya maji ktk kikombe kimoja kwa kila mtu,yeye ni mchungaji mstaafu na ni mnyakyusa.mti wa hiyo dawa ya ajabu ameupanda nje kwake ili watu waweze kuuona
sharti la dawa ni kunywa hapohapo haitoki hapo na kwa watumia vileo hutakiwa kusitisha kwa siku moja ili dawa ya mungu ifanye kazi
ni uponyaji wa kimiujiza hivi yaani baraka na spiritual.
Ada yake ni sh 500 tu,haichukui hata robo saa unapata huduma na kuondoka kupisha wengine
sio tiba ya kisayansi kama watu wanavyodahani.watu ni wengi, sisi tulikuta magari zaidi ya hamsini hapo.
Watu kutoka mikoa yote, kenya, tumekuta waarabu wa oman na wazungu wa Denmark pia,umati unatisha na babu huyo anadai mtu mwenye magonjwa anaweza kupima after seven days..wenye sukari na pumu hupata matokeo hapohapo na wengi wanaanza kunywa fanta na vipimo vikicheza between 4 na 7.5 wakati awali iikuwa above 12 mpaka 17
ukifika hapo babu anatoa historia ya ugunduzi wake kisha anatoa sala kama dk chache then anatoa dawa ya maji ktk kikombe kimoja kwa kila mtu,yeye ni mchungaji mstaafu na ni mnyakyusa.mti wa hiyo dawa ya ajabu ameupanda nje kwake ili watu waweze kuuona
sharti la dawa ni kunywa hapohapo haitoki hapo na kwa watumia vileo hutakiwa kusitisha kwa siku moja ili dawa ya mungu ifanye kazi
ni uponyaji wa kimiujiza hivi yaani baraka na spiritual.
Ada yake ni sh 500 tu,haichukui hata robo saa unapata huduma na kuondoka kupisha wengine
sio tiba ya kisayansi kama watu wanavyodahani.watu ni wengi, sisi tulikuta magari zaidi ya hamsini hapo.
Watu kutoka mikoa yote, kenya, tumekuta waarabu wa oman na wazungu wa Denmark pia,umati unatisha na babu huyo anadai mtu mwenye magonjwa anaweza kupima after seven days..wenye sukari na pumu hupata matokeo hapohapo na wengi wanaanza kunywa fanta na vipimo vikicheza between 4 na 7.5 wakati awali iikuwa above 12 mpaka 17