Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,680
- 20,433
Source: MwananchiWATU watatu wamefariki dunia na wengine 50 kujeruhi vibaya baada ya lori walilokuwa wamepanda wakati wakitokea kwenye kampeni za mgombea urais wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, kupinduka.
Ajali hiyo ya kwanza tangu kuanza kwa kampeni visiwani hapa, ilitokea majira ya saa 12:00 jioni kwenye eneo lililo kati ya Konde na Micheweni.