Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,832
- 18,826
Huku ikiwa bado majeruhi wa ajali ya Morogoro wakiwa hawajapona vizuri, lori jingine la mafuta limepata ajali leo tarehe 27 Agosti huko Handeni na wananchi kukusanyika na vyombo kwa ajili ya kuyachota
Hata hivyo polisi waliwahi eneo la tukio na kuwatawanya wananchi hao
Ikumbukwe hii ni ajali ya 2 ya lori la mafuta baada ya ile ya Morogoro kwani jana kulitokea ajali nyingine huko Ngara mkoani Kagera ambayo pia wananchi walienda kuchota mafuta
***UPDATE***
Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwatawanya wakazi wa Michungwani, wilayani Handeni waliotaka kuchota mafuta kufuatia lori la mafuta kupinduka na kumwaga mafuta. Kamanda wa Usalama Barabara Mkoani Tanga aliwaambia watu hao watakamatwa, watashughulikiwa kweli kweli, na wataozea jela.
Hata hivyo polisi waliwahi eneo la tukio na kuwatawanya wananchi hao
Ikumbukwe hii ni ajali ya 2 ya lori la mafuta baada ya ile ya Morogoro kwani jana kulitokea ajali nyingine huko Ngara mkoani Kagera ambayo pia wananchi walienda kuchota mafuta
***UPDATE***
Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwatawanya wakazi wa Michungwani, wilayani Handeni waliotaka kuchota mafuta kufuatia lori la mafuta kupinduka na kumwaga mafuta. Kamanda wa Usalama Barabara Mkoani Tanga aliwaambia watu hao watakamatwa, watashughulikiwa kweli kweli, na wataozea jela.