Mkuu rombo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,556
- 422
Arusha in the house
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina ushahidi asilimia mia moja kwamba Ray C ndio kamfundisha Lord Eyez na Ibra da Hustler kuvuta Unga,,Coz Rayc alianza kuvuta unga kabla hajakutana na hawa machalii wa R
ishu ni kuwa Mvuta unga mwenzio ndio hivyo tena kageuka kibaka..!...Na mwisho wa mateja ni ushoga! sasa ww baki tu eti kina sheta hawanikongagi kabisa!.. sasa huyo ***** anakukonga kwenye nini?... yaani unaandika kama demu bwana!..
Q chifu ameacha kuiba power window?
[h=3]Lord Eyez akamatwa kwa kuiba spea za gari la Ommy Dimpoz[/h]
Lord Eyez baada ya kukamatwa akiiba
Muda mfupi uliopita Ommy Dimpoz ametweet picha hiyo juu na kuandika maelezo haya:
Basi wameharibikiwa wazazi wahesabu hawana watoto hapo
Duh chaliii wa R mbona unatuangusha?na poz aliloweka laonyesha kuna ukwel kanyweaaaaaa!
Duh chaliii wa R mbona unatuangusha?na poz aliloweka laonyesha kuna ukwel kanyweaaaaaa!
Bora arudi Arusha Muba na Rama Mkulu watampa Shavu AKIBOA duh! Imeniuma sana YAANI Lodiiii kweli! Aisee lazima afanyiwe mchakato arudi chuga ... Najua Geboo we ni member humu mfanyie mchakato bro arudi chuga aiseee!