nataka kuwa real profesional in IT katika recornized college/unv/institute katika level ya degree niweze kujiajiri hata kuwa na kampuni kwa sasa niko kwenye hii field ingawa sijaridhika na ninachokifanya ni mwajiriwa sijapata challenge ambazo zinanitisha ila nataka niwe na kitu baada ya kazi.
cheti kiwe kinatambulika ikiwezekana world wide,practicle iwe more than 80%.kiwe hapa tz
cheti kiwe kinatambulika ikiwezekana world wide,practicle iwe more than 80%.kiwe hapa tz