Looking for a WEB DESIGNER

Mambo Jambo

JF-Expert Member
Jul 11, 2008
1,100
81
Looking for a webdesigner,
Not just a web designer but a good one, kama vipi nitumie PM tufanye mchakato
 
namjua jamaa wanafanya kazi nzuri sana...m2k graffix try to call him 0712254966; then talk a reasonable deal...
 
alryt...wana price nzuri pia ukijaribu kumpigia mtaongea fresh...wishing u luck
 
Wakuu ina maana hakuna wataalamu wa kiwango cha juu katika web designing hapa jukwaani...

Nahitaji mmoja nimpatie project, please nitumie PM.
 
Mkuu nimekuPM nikakupa tovuti yangu utembelee then unicheki, naona kimyaaaa.
Nb: kumbuka mrejesho ni moja kati ya sababu za kukua kwa biashara iwapo mazingatio yatakuwepo.

Hapa naona unavunja sheria za JF kwa kuwa PM huwa ni siri, je huyo jamaa uliye mPM anataarifa kuwa unamvua nguo hapa?
 
mpigie huyu jamaa mwenye namba 0784638491 mwambie shida yako atkufanyia kazi nzuri kwani hayuko after money isipokua ubora
 
Mkuu samahani unaweza kujibu hivi vimaswali hapa hapa au kwa pm ili nipime ama naweza kufanyakazi hii kama freelance

NB.
Sio muhimu kujibu yeyote lakini the more details the more mahitaji yako requirement zako zitakuwa specified.

  1. Kwa sasa unayo website/blog yeyote?
  2. Elezea vitu au huduma unayotaka kuelezea kwenye tovuti yako. yaanii Dhumuni Kuu la bishara au huduma zako
  3. Washindani wakubwa wa huduma au biashara yako ni kina nani taja wawili? Wadau wakubwa watarajiwa kuwa kina nani?
  4. Uelewa wao wa mambo ya komyuta na tovuti Ukoje?
  5. Ni kitu au vitu gani hutaki viwepo kwenye website yako?
  6. Ni kitu au vitu gani ambacho unadhani ni cha muhimu kuwepo kwenye tovuti yako?
  7. Kuna tovuti ulizowai kuona unazopenda muonekano wake ? Zitaje kama tatu
  8. Watumiaji wa Tovuti wanategemea kuwa kina nani?
  9. Una upendeleo wa rangi Fulani zianazhusiana na biashara au bidhaa zako? Zitaje
  10. Una budget maaluma kwa ajili ya kutegeza tovuti hii
  11. Una deadline ambapo ni muhimu Tovuti hii iwe imekamilika
  12. Je unatagema tovuti yako itahitaji kutangza taarira/ bidhaa mpya mara kwa mara kila siku/kila wiki kila mwezi
  13. Unayo Logo kama unayo je iko katika mfumo wa digital?
  14. Unayo domain name eg (xyz.go.tz) na Host eg x10hoting.com or hostgatr.com
  15. Utapenda matumzi ya picha katika tovuti. Je unazo picha ambazo ungependa zionekane
 
mpigie huyu jamaa mwenye namba 0784638491 mwambie shida yako atkufanyia kazi nzuri kwani hayuko after money isipokua ubora

Biashara matangazo....huyo jamaa wa 0784638491 mwambie atume profile yake hapa jamvini i;i auze hiyo biashara yake....
 
Simple and Clear Requirements gathering .Yeye tu Aji ume-ume.
Safi Sana

Mbona hajatoa Feedbak kama ameshapata hiyo Service from JF
Mkuu samahani unaweza kujibu hivi vimaswali hapa hapa au kwa pm ili nipime ama naweza kufanyakazi hii kama freelance

NB.
Sio muhimu kujibu yeyote lakini the more details the more mahitaji yako requirement zako zitakuwa specified.
  1. Kwa sasa unayo website/blog yeyote?
  2. Elezea vitu au huduma unayotaka kuelezea kwenye tovuti yako. yaanii Dhumuni Kuu la bishara au huduma zako
  3. Washindani wakubwa wa huduma au biashara yako ni kina nani taja wawili? Wadau wakubwa watarajiwa kuwa kina nani?
  4. Uelewa wao wa mambo ya komyuta na tovuti Ukoje?
  5. Ni kitu au vitu gani hutaki viwepo kwenye website yako?
  6. Ni kitu au vitu gani ambacho unadhani ni cha muhimu kuwepo kwenye tovuti yako?
  7. Kuna tovuti ulizowai kuona unazopenda muonekano wake ? Zitaje kama tatu
  8. Watumiaji wa Tovuti wanategemea kuwa kina nani?
  9. Una upendeleo wa rangi Fulani zianazhusiana na biashara au bidhaa zako? Zitaje
  10. Una budget maaluma kwa ajili ya kutegeza tovuti hii
  11. Una deadline ambapo ni muhimu Tovuti hii iwe imekamilika
  12. Je unatagema tovuti yako itahitaji kutangza taarira/ bidhaa mpya mara kwa mara kila siku/kila wiki kila mwezi
  13. Unayo Logo kama unayo je iko katika mfumo wa digital?
  14. Unayo domain name eg (xyz.go.tz) na Host eg x10hoting.com or hostgatr.com
  15. Utapenda matumzi ya picha katika tovuti. Je unazo picha ambazo ungependa zionekane
 
Mkuu samahani unaweza kujibu hivi vimaswali hapa hapa au kwa pm ili nipime ama naweza kufanyakazi hii kama freelance

NB.
Sio muhimu kujibu yeyote lakini the more details the more mahitaji yako requirement zako zitakuwa specified.

  1. Kwa sasa unayo website/blog yeyote?
  2. Elezea vitu au huduma unayotaka kuelezea kwenye tovuti yako. yaanii Dhumuni Kuu la bishara au huduma zako
  3. Washindani wakubwa wa huduma au biashara yako ni kina nani taja wawili? Wadau wakubwa watarajiwa kuwa kina nani?
  4. Uelewa wao wa mambo ya komyuta na tovuti Ukoje?
  5. Ni kitu au vitu gani hutaki viwepo kwenye website yako?
  6. Ni kitu au vitu gani ambacho unadhani ni cha muhimu kuwepo kwenye tovuti yako?
  7. Kuna tovuti ulizowai kuona unazopenda muonekano wake ? Zitaje kama tatu
  8. Watumiaji wa Tovuti wanategemea kuwa kina nani?
  9. Una upendeleo wa rangi Fulani zianazhusiana na biashara au bidhaa zako? Zitaje
  10. Una budget maaluma kwa ajili ya kutegeza tovuti hii
  11. Una deadline ambapo ni muhimu Tovuti hii iwe imekamilika
  12. Je unatagema tovuti yako itahitaji kutangza taarira/ bidhaa mpya mara kwa mara kila siku/kila wiki kila mwezi
  13. Unayo Logo kama unayo je iko katika mfumo wa digital?
  14. Unayo domain name eg (xyz.go.tz) na Host eg x10hoting.com or hostgatr.com
  15. Utapenda matumzi ya picha katika tovuti. Je unazo picha ambazo ungependa zionekane

PMed Mkuu.
 
Bado hijafika kama vipi weka majibu hapa yatawasaida wadau wengine na wewe kupata uwanja mpana wa kuchagua Suluisho bora

Mkuu mtazamaji tuweke ustaarabu mbele, nimejibu maswali yako yote kwenye PM na wewe ukajibu PM yangu.

Tafadhari usitake kuniharibia status yangu jukwaani.

Mods naombeni mfuatilie hii kitu na sheria ichukue mkondo wake.
 
Mkuu mtazamaji tuweke ustaarabu mbele, nimejibu maswali yako yote kwenye PM na wewe ukajibu PM yangu.

Tafadhari usitake kuniharibia status yangu jukwaani.

Mods naombeni mfuatilie hii kitu na sheria ichukue mkondo wake.

Duh Aiseee ngoja niwaulize mod labda PM zinazletwa wangu zimekuwa diverted . Sijapata ujumbe PM kutoka kwako mkuu.

Samahani kwa usumbufu sina haja ya kukusumbua mkuu. ebu cheki na mod na mimi nachei na mod .

Labda PM yangu imetekwa na kama ni kweli umetuma na mimi nitaomba maelezo nini kimetokea na aliyejibu ni nani hasa huyo?
 
Mkuu nadhani hii issue tafuta ustarabu mwingine . Ila fuatilia ukweli kwa mod Anayekujibu hizo pm ni nani. hasa. Umenishtua na nimeshtuka sana kwa kweli.
 
Mkuu nadhani hii issue tafuta ustarabu mwingine . Ila fuatilia ukweli kwa mod Anayekujibu hizo pm ni nani. hasa. Umenishtua na nimeshtuka sana kwa kweli.

Acha kujichoresha..watu wako serious wewe unakuja kupindua thread za watu, anzisha yako kama vipi,
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom