Look who is back...

stellahthatcher

Senior Member
Oct 14, 2015
168
164
JUMA%2BNYOSSO.jpg


TIMU ya Kagera Sugar ya Bukoba imesajili wachezaji sita wapya, akiwemo beki wa zamani wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Simba, Juma Said Nyosso(pichani kushoto).
Nyosso anasajiliwa Kagera Sugar baada ya kumaliza adhabu yake ya kufungiwa miaka miwili kufuatia kumtomasa makalio mshambuliaji John Raphael Bocco akiwa Azam FC kabla ya kuhamia Simba wiki hii.
 
mkuu nitakuchukulia hatua za kisheria kwa kunivua nguo
Hapana bosi wangu ukinichukulia hatua nits loose kila kitu katika maisha yangu NISAMEHE BURE SI UNAJUA SISI WENYE NJAA SOME TIME TUNATAFUTA UKARIBU WA NGUVU NA NYIE MA DON
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom