Looh huu mchezo naupenda

masai dada

JF-Expert Member
Dec 29, 2013
15,590
12,166
je wewe
 

Attachments

  • 1400962150150.jpg
    1400962150150.jpg
    40.7 KB · Views: 2,327
Hiyo nta ni party ya mahitaji ya sikio kujikinga so inatakiwa iwepo unless inapozidi kutokana na ugonjwa nk....kuendelea kuchokoa kila uogapo sio sahihi.

Sasa ikiwasha je? Na ikiachwa huwa hadi inatokelezea nje....
 
Sasa ikiwasha je? Na ikiachwa huwa hadi inatokelezea nje....

Kuwashwa ni tatizo - Ugonjwa....unatakiwa upate matibabu.
Hiyo Nta haiwezi kutoka nje vingenevyo uwe unaumwa.
Vinginevyo ukijenga tabia ya kulichokoa litakuwa linawasha kila mara halafu utakuwa unalikuna mwishowe utajikuta unafurahi na kucheka kicheko kinachotia shaka kama cha Huyu bwana aloletwa na masai dada.
 
Last edited by a moderator:
Kuwashwa ni tatizo - Ugonjwa....unatakiwa upate matibabu.
Hiyo Nta haiwezi kutoka nje vingenevyo uwe unaumwa.
Vinginevyo ukijenga tabia ya kulichokoa litakuwa linawasha kila mara halafu utakuwa unalikuna mwishowe utajikuta unafurahi na kucheka kicheko kinachotia shaka kama cha Huyu bwana aloletwa na masai dada.

Hahahahaa....eti kicheko kinachotia shaka...mimi sijui kama ntaweza kuacha mweeeh...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom