masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,590
- 12,166
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kama bwabwa?
Ha!ha!ha!Du hii kali ebu nijaribu tuone!!!
Kiafya haishauriwi
umepata jibu gani mkuu
Kiafya haishauriwi
Sio lazima urembue kwa hiyo sitakubaliana na wewe huwenda jamaa kwenye picha ni yale mambo.......
kurembua????
Kumbe tunatakiwa tusafishe vipi mkuu
Hiyo nta ni party ya mahitaji ya sikio kujikinga so inatakiwa iwepo unless inapozidi kutokana na ugonjwa nk....kuendelea kuchokoa kila uogapo sio sahihi.
Sasa ikiwasha je? Na ikiachwa huwa hadi inatokelezea nje....
Kuwashwa ni tatizo - Ugonjwa....unatakiwa upate matibabu.
Hiyo Nta haiwezi kutoka nje vingenevyo uwe unaumwa.
Vinginevyo ukijenga tabia ya kulichokoa litakuwa linawasha kila mara halafu utakuwa unalikuna mwishowe utajikuta unafurahi na kucheka kicheko kinachotia shaka kama cha Huyu bwana aloletwa na masai dada.