Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Naona bado hamjamuelewa Dr. Slaa.... Anachomaanisha Dr ni kwamba tume ya uchaguzi ikishatangaza mshindi hawezi kupingwa na mahakama au chombo chochote kile....That is to say, hata kama CHADEMA hawakuridhika na mchakato uliomwingiza JK madarakani ila kwa mujibu wa sheria hakuna ujanja bado JK atabaki kuwa rais wa TZ even without CHADEMA's recognition.
Pengine hii ndio sababu CHADEMA wameamua kuelekeza nguvu zao kwenye mabadiliko ya katiba na tume ya uchaguzi
Sasa ikiwa Kikwete ataendelea kuwa rais without CHADEMA's recognition, ndo inamaanisha Chadema imrecognise?
As long as maoni ya Chadema hayaongezi wala kupunguza kitu kwa cheo cha rais, why kumtambua and not kutomtambua?