Long life Zanzibar,Tanganyika nimekosa nini hata ikawa sipendwi wala sitajwi na watu wangu?

Kakke

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,883
1,482
[h=1][/h]Written by Hassan10 // 14/07/2011 // Habari // No comments

Sitta aikataa nichani(Medali) ya uhuru wa nchi yao leo.

[caption id="attachment_31588" align="aligncenter" width="185" caption="Sitta aikumbuka hii ni Tambara la nchi gani?"] [/caption]Niharamu na zambi kumbwa kwa Mzanzibar kumuona anaikataa Zanzibar yake, Sisi Wzanzibar tutaendelea kuipenda nchi yetu na katu kwa hali yoyote ile basi tutajinata na kuona ufahari kuwa Wazanzibar tunakupa wingi wa shukurani M/mungu kuwa bado tuko Wzanzibar na kuona ufahari kuwa Wzanzibar kuliko Utanzania.
Lakini laaibu na fezeha ni ndugu zetu wa Tanganyika kuacha asili ya nchi yao na historia yao na kukumbatia Tanzania jina hata lisilo na historia.
Mimi najiuliza Jee Wtanganyika wote nikama vile Sitta mawazo ya kuikataa Tanganyika yao? kama ndio hivyo basi wamekula hasara, Wao hawajuwi kuwa Nyerere na Karume waliunganicha Tanganyika na Zanzibar na sio Tanzania? Tanzania tunawachia wenyewe kama munaipenda kuliko Tanganyika?.
Mapambano ya Wzanzibar hivi sasa ni kuwasaidia kurudicha Tanganyika yenu alio ipigania uhuru Baba enu wa Taifa Juliasi, laa ikiwa mutavunja Muungano kwa sababu tu yakurudi Tanganyika, basi kwetu sisi nifuraha tu,nani mwenye kukumbatia Muungano.
Hivi sasa Wzanzibar wote ccm Znz cuf Znz washachoshwa na vitimbi vya Muungano hili liko wazi sio kwa wajumbe wetu wanao ingia ktk Bunge la Tanganyika wala sio Bunge letu la Zanzibar wote tabani kwa vitimbi vya Muungano.
Mimi huchangazwa na W-Tanganyika wajitiao kuwa kama Wzanzibar hamutaki Muungano si museme tu, sasa tuseme mara ngapi munataka? Hakuna hata Mzanzibar moja anae taka Muungano hata ukiona mtu anajitia anautaka Muungano Zanzibar basi huendi hatua mbili utamnasa kuwa ndie chogo.
Kama Sitta na wenzake watakataa kuzaliwa upya kwa Tanganyika Basi tutawasulubu kwa jina hilo hilo Tanzania mulipendalo.
Long life Zanzibar.
 
[h=1][/h]Written by Hassan10 // 14/07/2011 // Habari // No comments

Sitta aikataa nichani(Medali) ya uhuru wa nchi yao leo.

[caption id="attachment_31588" align="aligncenter" width="185" caption="Sitta aikumbuka hii ni Tambara la nchi gani?"] [/caption]Niharamu na zambi kumbwa kwa Mzanzibar kumuona anaikataa Zanzibar yake, Sisi Wzanzibar tutaendelea kuipenda nchi yetu na katu kwa hali yoyote ile basi tutajinata na kuona ufahari kuwa Wazanzibar tunakupa wingi wa shukurani M/mungu kuwa bado tuko Wzanzibar na kuona ufahari kuwa Wzanzibar kuliko Utanzania.
Lakini laaibu na fezeha ni ndugu zetu wa Tanganyika kuacha asili ya nchi yao na historia yao na kukumbatia Tanzania jina hata lisilo na historia.
Mimi najiuliza Jee Wtanganyika wote nikama vile Sitta mawazo ya kuikataa Tanganyika yao? kama ndio hivyo basi wamekula hasara, Wao hawajuwi kuwa Nyerere na Karume waliunganicha Tanganyika na Zanzibar na sio Tanzania? Tanzania tunawachia wenyewe kama munaipenda kuliko Tanganyika?.
Mapambano ya Wzanzibar hivi sasa ni kuwasaidia kurudicha Tanganyika yenu alio ipigania uhuru Baba enu wa Taifa Juliasi, laa ikiwa mutavunja Muungano kwa sababu tu yakurudi Tanganyika, basi kwetu sisi nifuraha tu,nani mwenye kukumbatia Muungano.
Hivi sasa Wzanzibar wote ccm Znz cuf Znz washachoshwa na vitimbi vya Muungano hili liko wazi sio kwa wajumbe wetu wanao ingia ktk Bunge la Tanganyika wala sio Bunge letu la Zanzibar wote tabani kwa vitimbi vya Muungano.
Mimi huchangazwa na W-Tanganyika wajitiao kuwa kama Wzanzibar hamutaki Muungano si museme tu, sasa tuseme mara ngapi munataka? Hakuna hata Mzanzibar moja anae taka Muungano hata ukiona mtu anajitia anautaka Muungano Zanzibar basi huendi hatua mbili utamnasa kuwa ndie chogo.
Kama Sitta na wenzake watakataa kuzaliwa upya kwa Tanganyika Basi tutawasulubu kwa jina hilo hilo Tanzania mulipendalo.
Long life Zanzibar.

Nyinyi endelezeni ubabe wa uvamizi wenu Zanzibar tu na kuisahau Tanganyika yenu ikiuzwa kwa magabachori tu.

Nchi yenu tajiri, raia weke maskini wa kutupwa kwa kuendekeza mafisadi.

Iko siku mtajikuta hamna Tanganyika wala Tanzania maana Tanzania bila ya Zanzibar haiwezekani lakini Zanzibar bila Tanzania inawezekana.

Kazi kwenu.
 
Mwalimu alisema hakuna zambi mbaya kama ya kula nyama ya mtu,na naekula nyama ya mtu huwa aachi,tukikuachieni znz yenu tunaogapa wapemba watadai pemba yao na waunguja watadai unguja yao,nyinyi wenyewe waznzbar hampendani mnabaguana sana kwa uunguja na upemba,nimesoma na wanzbar nawajua navyobaguana wakati mnatoka kwenye nchi moja,kabla ya kudai uznzbar wenu hebu niangalieni na mjitathimini nyinyi kwa nyinyi alafu mje na madai yenu.hata ss tunaipenda tanganyika yetu haina majungu makabira takribani 120 hatubaguani tunapendana na kuoleana,tunamshukuru mwalimu kwa tanganyika yetu na tanzania yetu
 
1. Tunawatala ninyi, Raisi ati wenu anatumwa na sisi! na mambo yenu tunayapanaga sisi!, Sasa kama hakuna Mzanzibar anayependa muungano, na wewe unayeandika upo huku Tanganyika, huoni aibu nenda kwenu wavivu nyiye, mbona mnakubali kubali tu kukaa huku ati nmnapewa vyeo makamu wa rais, waziri wa mambo ya ndani,Afya makatibu wakuu, nendeni kwenu ninyi msioweza kujitetea, mkidanganywa na madaraka ,muafaka mna regea kabisam maharage ya Mbeya!
 
Mwalimu alisema hakuna zambi mbaya kama ya kula nyama ya mtu,na naekula nyama ya mtu huwa aachi,tukikuachieni znz yenu tunaogapa wapemba watadai pemba yao na waunguja watadai unguja yao,nyinyi wenyewe waznzbar hampendani mnabaguana sana kwa uunguja na upemba,nimesoma na wanzbar nawajua navyobaguana wakati mnatoka kwenye nchi moja,kabla ya kudai uznzbar wenu hebu niangalieni na mjitathimini nyinyi kwa nyinyi alafu mje na madai yenu.hata ss tunaipenda tanganyika yetu haina majungu makabira takribani 120 hatubaguani tunapendana na kuoleana,tunamshukuru mwalimu kwa tanganyika yetu na tanzania yetu
Waacheni wabwabwa je tu hao jamaa.
Kitaeleweka siku wataporudishwa makwao uarabuni.
Hawajui kuwa hata hapo Zanzibar si kwao.
 
si nilisikia hata pemba nao wanataka kujitenga...nilisikia jamaa mmoja anaongea bbc siku za juzi hapa...
 
Mwalimu alisema hakuna zambi mbaya kama ya kula nyama ya mtu,na naekula nyama ya mtu huwa aachi,tukikuachieni znz yenu tunaogapa wapemba watadai pemba yao na waunguja watadai unguja yao,nyinyi wenyewe waznzbar hampendani mnabaguana sana kwa uunguja na upemba,nimesoma na wanzbar nawajua navyobaguana wakati mnatoka kwenye nchi moja,kabla ya kudai uznzbar wenu hebu niangalieni na mjitathimini nyinyi kwa nyinyi alafu mje na madai yenu.hata ss tunaipenda tanganyika yetu haina majungu makabira takribani 120 hatubaguani tunapendana na kuoleana,tunamshukuru mwalimu kwa tanganyika yetu na tanzania yetu

Kwanza Mkuu huyo Nyerere wala hatumuoni hivyo mnavyomuona nyinyi maana huyu ndie fitna mkubwa alieyasababisha yote hayo uyademayo kwa adhma anayoijua yeye mwenyewe zaidi.

Wala nyie haiwakhusu mambo ya Zanzibar, kwetu sisi nyinyi ni wavamizi tu ambao tunangojea muondoke tujenge nchi yetu.

Fitna za Nyerere zimepitwa na wakati na ndio ukaona leo Zanzibar iko tulivu, jambo linalowauma sana. Mnataka tugombane ili kwenu iwe rahisi zaidi kututawala.

Nchi yenu tajiri, raia wake maskini kwa kuendekeza pombe na ufisadi huku mkidandia vya watu.
 
Back
Top Bottom