cocochanel kwa kujitoa ufahamu hujambo. Hii I'D yako ya ISIS inaandikaga mambo ya kihuni kwelikweli.
Selective news. Jpm kawatwanga kwenye strigglers gauge mbona hawasemi kitu. Kuna habari nyingi nzuri hawasemi? . Hutasikia cnn inatangaza Serengeti Kilimanjaro wala Zanzibar.We are making headlines for wrong reasons
Huo ndio udhaifu kwani kipi muhimu kudumisha tamaduni zetu au pesa za mashoga,wacha wasitishe na waende kokote,nao wataathrika kibiashara,kwani Ngrorngoro ipo Tanzania,ukitaka kukwea Mlima Kilimanjaro lazima waje Tanzania,wacha waende,ni sawa na kusema au kuambiwa na jirani yako mwenye pesa mlete binti yako nimuwowe ,kama hutaki sikupi hela,je kwa ujinga wako utampeleka huyo binti wako au utakataa huo msaada wake.Uhuru Kenyata alipinga ushoga na kusema Kenya sio nchi ya kuja kufanya ushoga,je walimfanya nini,eti mtu mwenye kitour chake anataka aitishe nchi ,huu si upunguani huu.Na nyie kwa ujinga wenu mnaona hilo nalo jambo la kushadadiaA London agent Nick Harding-McKay, owner of Balham-based Travel Designers, has written to his supplier partners asking them to avoid selling the east African country “while such threats to a large section of the community are in place by their government”.
He also added that the governor’s announcement could pose a threat to tourists in the area.
Harding-McKay’s plea followed the news that Paul Makonda, governor of the country’s economic capital Dar es Salaam, told reporters round-ups of gay people would begin in the next week.
Makonda said a surveillance team would also scrutinise social media in order to track down and arrest people who are in same sex couples.
"Give me their names," Makonda was reported as saying by AFP news agency. "My ad hoc team will begin to get their hands on them next Monday."
Anti-LGBT rhetoric has been growing in Tanzania since President John Magufuli took office in 2015.
Makonda, who BBC News described as a “staunch ally” of the president, admitted he expected criticism from the international community over the move, but said: “I prefer to anger those countries than to anger God.”
Harding-McKay said he was still waiting to hear back from most supplier partners, but Andy Freeth, chief executive of If Only replied to say that while the operator did not currently sell Tanzania, the “awful comments” of the governor meant it would “not be featured though If Only anytime soon” unless the situation “dramatically changed”.
A spokesperson for the Tanzania Tourism Organisation, which is a private sector initiative, said: “It is hugely disappointing to hear of any type of prejudice, anywhere in the world.
"We are not fully aware of the legislation or of the actions being undertaken, at present. But the tourism industry is a key contributor to GDP in Tanzania, therefore I would anticipate that the entire tourism industry in the country will want to urgently debate this with the government and act accordingly”.
Agent urges operators to avoid Tanzania after witch-hunt of gay people announced
My Take: Maamuzi yetu japo mazuri lkn yatainufaisha Kenya kwenye sekta ya Utalii.
CCM ni grisi chafu piaHahahha Nchi inaenda ki- KONKY KONKY KONKY Mpaka Igeukee kuwa OIL CHAFU.
Aiyaaaa yaàaa! Haiwezekani walahiDuh
Yaani umechemka haswaaaa
Vitu vingine ni kutotumia akili tu. Wana attract attention bila sababu yoyote. Hivi vitu unaweza kivifanya kimya kimya na matokeo yake yakawa mazuri kuliko kupayuka payuka ovyo.
Selective news. Jpm kawatwanga kwenye strigglers gauge mbona hawasemi kitu. Kuna habari nyingi nzuri hawasemi? . Hutasikia cnn inatangaza Serengeti Kilimanjaro wala Zanzibar.
DABMakonda
Nilikuwa nawaza kitu kama hicho kumtokea Makonda binafsi.NAMSHAURI BWANA MAKONDA KAMA ANAMALIZAKE NJE YA NCHI AKAZIRUDISHE MAPEMA SANA MAANA KINACHOFUATA NI KUNYIMWA VISA ZA KUINGIA NCHI ZA MASHARIKI NA KUWEKEWA VIKWAZO VYA UCHUMI YEYE BINAFSI-SANCTION HUWA NDO SILAHA YAO YA JADI HAWA WATU
Watalii hawaji Tanzania kwa matangazo ya TBC1 au gazeti la Mzalendo mtu hakurupuki leo kwenda kukata tiketi kuja kupanda mt Kilimanjaro kuna ma agents ambao kazi yao ni kumshawishi atembelee nchi gani, kuhusu usalama wake, usafiri, hotel nk.Wach
Huo ndio udhaifu kwani kipi muhimu kudumisha tamaduni zetu au pesa za mashoga,wacha wasitishe na waende kokote,nao wataathrika kibiashara,kwani Ngrorngoro ipo Tanzania,ukitaka kukwea Mlima Kilimanjaro lazima waje Tanzania,wacha waende,ni sawa na kusema au kuambiwa na jirani yako mwenye pesa mlete binti yako nimuwowe ,kama hutaki sikupi hela,je kwa ujinga wako utampeleka huyo binti wako au utakataa huo msaada wake.Uhuru Kenyata alipinga ushoga na kusema Kenya sio nchi ya kuja kufanya ushoga,je walimfanya nini,eti mtu mwenye kitour chake anataka aitishe nchi ,huu si upunguani huu.Na nyie kwa ujinga wenu mnaona hilo nalo jambo la kushadadia
Sikubaliani kabisa na hii ishu ya ushoga KABISA ila tatizo MAKONDA anaihandle vibaya hii ishu anaipa attention kubwa Sana bila kujua anaiweka nchi yenye kutegemea wahisani pabaya..... Tanzania so nchi ya Kwanza kukataza hi ishu ila ni vuzuri Hawa watu tukadeal nao kwa njia sahihi isiyosumbua Mana naona Sasa TANZANIA TUNAGEUKA SEHEM YA KUTANGAZA USHOGA.
Hataivo hili zoez litasitishwa kimyakimya wala hautojua limeishia wapi.Vitu vingine ni kutotumia akili tu. Wana attract attention bila sababu yoyote. Hivi vitu unaweza kivifanya kimya kimya na matokeo yake yakawa mazuri kuliko kupayuka payuka ovyo.
Hao watalii wenyewe ni mashoga sijui tutawazuia AIRPORT?Wazungu wanautukuza sana ushoga.
mhhh msomali anapozungumza kiswahili raha sanaHawa wezi kufanya lolote walahi
Vishoga vitapigana na mito baadae vita choka tu walahi
Walevi na watumiaji unga, ni ma addicts, madishi yameyumba walahi
Hata safari ya Obama in serengeti?. Hujaelewa maana yangu positive newsCNN na wengineo wanaishi kwa matangazo, hawawezi kukutangazia vivutio vyako bure! peleka pesa ya matangazo utayaona kunazia kesho
Mbona hatuwi wakali hivi kwa watu wasiojulikana?Kama ni kusimama Na maadili Mungu atasimama Na taifa pumbafu wakubwa watokomee kuzimu Na ushoga Na usagaji wao to hell with them and their money