samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 1,985
- 1,205
Ila kuna ukweli hapoHuyo mungu mwenyewe wamekuletea wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuna ukweli hapoHuyo mungu mwenyewe wamekuletea wao
Uko vizur, ni kweli kabsaukiona mtu ana obssession na kitu flani eg professorial,phd's basi kuwa na mashaka na elimu yake
ukiona mtu ni homophobia basi kuwa na mashaka na sexuality yake
Neno ushoga ni la lugha gani. Ushoga tumeusikia hata kabla hatujapata utandawazi mnasema ushoga umekuja juzi? Mababu na mabibi walikuwa na mashoga basi ujue.Wazungu wanautukuza sana ushoga.
Kesi nyingi za watu wanaoua wanaume wenzao huko ulaya na marekani ni wale homosexual sababu hawataki kukubali kuwa wao wako hivyo. Tunaweza sema na hapa wale wanaopiga kelele sana inabidi wafatiliwe sana yawezekana kama siyo sasa huko nyuma walikuwa au wapo vile ila wamevaa ngozi tofauti.Uko vizur, ni kweli kabsa
Hatuhitaji uchumi wa machikoWe are making headlines for wrong reasons
Afadhali wazungu wanaofanya mambo ya ushoga lakini angalao wanathaminj utu na uhai wa watu wao. Sisi tunateka, tunaua na kuwalinda wasiojulikana.Sisi tunatukuza watu wasiojulikana!
Tumekuwa Taifa la watu wa ajabu sana!Afadhali wazungu wanaofanya mambo ya ushoga lakini angalao wanathaminj utu na uhai wa watu wao. Sisi tunateka, tunaua na kuwalinda wasiojulikana.
cocochanel kwa kujitoa ufahamu hujambo. Hii I'D yako ya ISIS inaandikaga mambo ya kihuni kwelikweli.Hawa wezi kufanya lolote walahi
Vishoga vitapigana na mito baadae vita choka tu walahi
Walevi na watumiaji unga, ni ma addicts, madishi yameyumba walahi
Ovyo wewe mwenye kutetea ushoga.
Kama wewe survival yako inategemea mashoga, usije ukadhani na sisi ni kama wewe.acheni kupokea misaada ya mashoga tuone kama mtasavaivu
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
1. Saudia ana mafuta, rasilimali inayotegemewa duniani kote, hawategemei utalii kuwaingizia fedha za kigeni. Sisi hapa utalii ndio muingizaji mkubwa forex...na product yetu sio ya pekee sana kwa tanzania, zipo nchi jirani ambazo mtalii anaweza kwenda na akapata experience ambayo tunaiuza sisi. Kwahiyo huwezi hata siku moja kulinganisha saudia na tanzania.
Kwa nini nchi zote za Ulaya na Marekani wasimwekee vikwazo Saudia na nchi zingine kama iran, emirates nk kama kweli wanataka haki za binadamu?
2. Pamoja na kwamba saudi nao wana sheria za kupinga ushoga, lakini humsikii Bin Salman akitangaza wazi wazi kuwatishia mashoga na kuanza kuwakamata na kudukua simu zao. Mambo mengine unafanya kimya kimya bila kujitangaza kwenye vyombo vya habari.
A London agent Nick Harding-McKay, owner of Balham-based Travel Designers, has written to his supplier partners asking them to avoid selling the east African country “while such threats to a large section of the community are in place by their government”.
He also added that the governor’s announcement could pose a threat to tourists in the area.
Harding-McKay’s plea followed the news that Paul Makonda, governor of the country’s economic capital Dar es Salaam, told reporters round-ups of gay people would begin in the next week.
Makonda said a surveillance team would also scrutinise social media in order to track down and arrest people who are in same sex couples.
"Give me their names," Makonda was reported as saying by AFP news agency. "My ad hoc team will begin to get their hands on them next Monday."
Anti-LGBT rhetoric has been growing in Tanzania since President John Magufuli took office in 2015.
Makonda, who BBC News described as a “staunch ally” of the president, admitted he expected criticism from the international community over the move, but said: “I prefer to anger those countries than to anger God.”
Harding-McKay said he was still waiting to hear back from most supplier partners, but Andy Freeth, chief executive of If Only replied to say that while the operator did not currently sell Tanzania, the “awful comments” of the governor meant it would “not be featured though If Only anytime soon” unless the situation “dramatically changed”.
A spokesperson for the Tanzania Tourism Organisation, which is a private sector initiative, said: “It is hugely disappointing to hear of any type of prejudice, anywhere in the world.
"We are not fully aware of the legislation or of the actions being undertaken, at present. But the tourism industry is a key contributor to GDP in Tanzania, therefore I would anticipate that the entire tourism industry in the country will want to urgently debate this with the government and act accordingly”.
Agent urges operators to avoid Tanzania after witch-hunt of gay people announced
My Take: Maamuzi yetu japo mazuri lkn yatainufaisha Kenya kwenye sekta ya Utalii.
ndio hebu jaribuni kuacha kuombomba mashogaKama wewe survival yako inategemea mashoga, usije ukadhani na sisi ni kama wewe.
Kwani amemtisha nani.Stupid operator! Yaani imefikia hatua nchi itishwe na operator!! Nadhani hajifahamu na hafahamu nchi za afrika zikoje. Ni zile hadithi kwamba Afrika wanaishi msituni.
Nani kasema anapenda ushoga hivi mmechanganyikiwa?Hamia Kenya kama na wewe unapenda ushoga. Hapa kwetu hatuhitaji mashoga hata Mungu hapendi mambo yako ndiyo maana aliiangamiza "SODOMA NA GOMOLA" Hivyo mkuu kama unaona watalii mashoga hawatakuja Tanzania sawa tu! Kwa taarifa yako mara nyingi tu mashoga wa ulaya wamefukuzwa nchini wakileta cha kuleta!