C9trix
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 213
- 185
Kumbe Tundu lissu na akwilina yalikuwa ni matukio ya ubaguzi wa rangi basi nilikuwa sijui ilo. Alafu siku nyingine utoe maoni yako, usipende sana kupita pita nyuma ya comment za watu.Hukuandamana alipomwagiwa risasi Tundu Lissu, hukuandamana , alipouawa Akwilina, eti leo unataka kuandamana kwa kifo cha Floyd ambacho hata haujui sababu zake.
Jamii ya sasa hivi ni ya kimihemko sana, mmetawsliwa sana na Hysteria.