Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Es sasa naona unataka kutuziba kwa kusema hakuiba.
Jibu hoja hapo juu na Luhanjo kaja lini na pe sa zimeibwa lini? Unajua sijui wewe unasema kwamba ni uongo kwa sababu zipi. Gate lipo na bado ni bovu huu ni ushahidi, pia mapicha hayamo kaondoka nayo na jumba ni gofu balozi hajaingia humo ndani unataka upewe ushahidi gani? Huyu Mama Nyoni unaimnba naye watu tunamjua zaidi na wizi kuzuiwa na Luhanjo kwa sasa nitashangaa maana ni CCM ile ile.
JK kaingia kwa rushwa madarakani leo anawezaje kuzuia rushwa kama anawapa wala rushwa muda wa kujirekebisha? Unaongea nini mzee wangu Es. Kibelloh kulindwa ni wazi na halindwi na wewe bali JM kisa cha kumlinda tunakijua na ndiyo maana anavurunda na JM akiondoka Umakamu wa CCM basi wengi wenu watu wa JM ndiyo mwisho wenu wa kutanua.
Kibelloh kaiba 12,000 pounds na nasimamia maandiko yangu.
Jibu hoja hapo juu na Luhanjo kaja lini na pe sa zimeibwa lini? Unajua sijui wewe unasema kwamba ni uongo kwa sababu zipi. Gate lipo na bado ni bovu huu ni ushahidi, pia mapicha hayamo kaondoka nayo na jumba ni gofu balozi hajaingia humo ndani unataka upewe ushahidi gani? Huyu Mama Nyoni unaimnba naye watu tunamjua zaidi na wizi kuzuiwa na Luhanjo kwa sasa nitashangaa maana ni CCM ile ile.
JK kaingia kwa rushwa madarakani leo anawezaje kuzuia rushwa kama anawapa wala rushwa muda wa kujirekebisha? Unaongea nini mzee wangu Es. Kibelloh kulindwa ni wazi na halindwi na wewe bali JM kisa cha kumlinda tunakijua na ndiyo maana anavurunda na JM akiondoka Umakamu wa CCM basi wengi wenu watu wa JM ndiyo mwisho wenu wa kutanua.
Kibelloh kaiba 12,000 pounds na nasimamia maandiko yangu.