Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Tatizo lipo kaka, tena kubwa tu na tukiliendekeza kila mtu atakuja kukodisha maeneo ya uwekezaji hapa nchini, atakuja mtu na pesa yake akodishe kigamboni na afunge mitambo yake ya mawasiliano, mwingine akodishe zanzibar, mwingine mbeya, arusha, kilimanjanro, dodoma, dar, etc mbona itakuwa fujo? akija mwenye dau kubwa atakodisha tanzania yote. Nakumbuka enzi ile Iddi Amin alitaka kukodisha Kagera unajua kilicho mpata? Tukiindekeza hii tabia tutauza utu na heshima yetu.
Hii ni aibu kwetu na kwa taifa.
MM.......Narudia tena......tatizo ni hizo sera, makubaliano na mikataba mibovu ya uwekezaji. Hayo yanayotokea on the groung ni matokea tu.....kama tunataka kupiga kelele tuzipigiea sera na mikataba mibovu!
Kwa kuwa na kwambia chanzo cha tatizo mkuu? ni vizuri kutokomeza chanzo cha ugonjwa kuliko kutibu ugonjwaTatizo ni kubwa wewe Next level mwenyewe you are problem!
Ni kawaida ya watu wa sisiemu ndivyo mlivyo!!
Acha uvivu mkuu, fanya utafiti kidogo tu tena hapa hapa jamvini, then u will know where I belong!