SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Wakuu neno/kifupisho hiki matumizi yake sahihi ni yapi,kwa wakati gani na katika kumanisha nini? na kwa wakati gani? Nakumbuka kuna kijana UINGEREZA alifungwa miezi SITA kwa matumizi ya neno hili katika twiter pale fabrice muamba alipoanguka kiwanjani kwa matatizo ya moyo. Naomba wataalamu mtujuze.