Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,919
- 31,161
Honeymoon ya miezi mingapi ?.
Jamani labda bado yuko honeymoon.............. tumuombee arudi salama...
Jamani labda bado yuko honeymoon.............. tumuombee arudi salama...
ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Unataka igwe tu ndio akuombee!
sawa_lakn ukumbuke kuja na sadaka pamoja na fungu la kumi plz
Maombi ya wengi ndiyo yanakuwa mazuri zaidi, baraka zinakuwa nyingi
analea ndoa
Kumbe warembo wako huku, ndo maana siwaoni Jukwaa la Siasa? Na baadhi ya wachangiaji wamehamia huku! Nami nitakuwa natembelea hata mara moja kila siku
Kumbe warembo wako huku, ndo maana siwaoni Jukwaa la Siasa? Na baadhi ya wachangiaji wamehamia huku! Nami nitakuwa natembelea hata mara moja kila siku
Preta leo usiku nimeota nitakuwa nabii, mtume na muombaji wa kimataifa.....hebu nitumie hilo lako la moyoni nianze kushuka ombi la kufufua mtu
orait....ombi ni hivi.....kuna mtu namdai sasa ananizengua kulipa....naomba uniombee nipate nguvu ili nisichukue muda mrefu kumrestisha in peace....majibu yasichelewe tafadhali.....
Dada wa watu masikini aliletaga taarifa tumuombeage aolewe, mimi nikamuomebaga (hope na wengine), akapataga mume na ukawa mwanzo wa kututupa kabisa ...........kapotea jukwaani
Where are you Miss Judith? au ndo umetokaga kivingine? michango yako kama ningejumlisha na ya Ashadii basi mambo yangekuwa swadakta
Napata hofu ya kuombeaga wengine maana nahisi mkishaolewa mtatupoteaga jukwaani
wewe mgeni hapa MMU eeh....?.....basi naomba niwe mwenyeji wako......
Hope maombi yanafanya kazi sana_wakuu naomba mniombee nishike mihela.
Hizo "ga"! mmmmh hapana