Loh! Hivi kijijini nako kuna ushamba?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
5,759
5,289
Imezoeleka kuwa kama mtu katoka shamba kuja town na akaanza kushangaa shangaa jiji huitwa mshamba...Vipi kuhusu wa mjini akienda kijijini na kuanza kushangaa mashamba ya mpunga, baskeli za mbao n.k

ATAITWA NANI??
 
watamuona mjanja mana watamshtukia fasta kua katokea town
 
Back
Top Bottom