Powa kamanda sio tu logic inawezekana nimekosea kujieleza. Teh Teh teh da nyie wanasheria mna mambomnachambua neno kwa neno lakini nadhani umepata mantiki nzima ya ya nn napenda kuelimishwa . Hilo neno logic lisikubane
Michango yako ya kisheria naikubali
Muwaha said:
kumpa uhuru zaidi mtuhumiwa au victim, kupunguza hofu na panic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.