Logic ya kuzuia kupiga picha na video mahakamni

Ngoja tukabukue ndugu?

Powa kamanda sio tu logic inawezekana nimekosea kujieleza. Teh Teh teh da nyie wanasheria mna mambomnachambua neno kwa neno lakini nadhani umepata mantiki nzima ya ya nn napenda kuelimishwa . Hilo neno logic lisikubane

Michango yako ya kisheria naikubali


Muwaha said:
kumpa uhuru zaidi mtuhumiwa au victim, kupunguza hofu na panic

  • Unamaanisha nini ina maana hata kabala kesi haijaanza ukipiga picha mtuhumiwa anakosa uhuru ?
  • Na kwa nn umesema uhuru wa mtumumiwa bila kutaja uhuru wa mshtki au muendesha kesi
 
Back
Top Bottom