Claret
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 758
- 981
Nulilala hapa mwaka huu. Kutamu kweli kuna chumba nilikizoea kwani kipo kimya na ukiwa na mechi basi ni mwendo wa simple harmonic motion mpaka asubuhi. Ila wajitahidi tu kuweka king'amuzi cha maana angalao.Nakushauri uende Mwamba Inn! Wala hautojuta!View attachment 1602413