Lodge na sheli zinauzwa

tajirisana

Member
Sep 29, 2010
83
22
1. Lodge mpya kabisa iko mita 50 kutoka barabarani ina eneo la ukubwa robo tatu ekari inauzwa sh.500m.
 
madalali uwa wanapenda sana kukurupuka sasa hiyo logde na "sheli" ziko eneo gani Mikocheni au Kisarawe? na wakihitaji wanakupataje majengo yake yana ubora gani? kwa nini huweki picha? toa maelezo ya kutosha
 
2.lodge na bar iko mbezi mwisho ilo karibu na ya kwanza hapo juu hii ya pili ukubwa wa eneo lake 800sqm bei sh.500m
3.sheli iko kibaha eneo ukubwa 3270sqm ina pampu 3 bei 2bilion
4.sheli iko kibaha eneo ukubwa ekari 1.5 ina pampu 5 bei 3bilion
5.sheli iko kibaha eneo ukubwa ekari 1.5 ina pampu 5 na yadi kubwa yq kuingiza magari makubwa 30 bei 1.5bilion
kwa mnunuzi nitafute kwenye 0624117199
 
2.lodge na bar iko mbezi mwisho ilo karibu na ya kwanza hapo juu hii ya pili ukubwa wa eneo lake 800sqm bei sh.500m
3.sheli iko kibaha eneo ukubwa 3270sqm ina pampu 3 bei 2bilion
4.sheli iko kibaha eneo ukubwa ekari 1.5 ina pampu 5 bei 3bilion
5.sheli iko kibaha eneo ukubwa ekari 1.5 ina pampu 5 na yadi kubwa yq kuingiza magari makubwa 30 bei 1.5bilion
kwa mnunuzi nitafute kwenye 0624117199

wacha waje,waambie pia waku-pm
 
2.lodge na bar iko mbezi mwisho ilo karibu na ya kwanza hapo juu hii ya pili ukubwa wa eneo lake 800sqm bei sh.500m
3.sheli iko kibaha eneo ukubwa 3270sqm ina pampu 3 bei 2bilion
4.sheli iko kibaha eneo ukubwa ekari 1.5 ina pampu 5 bei 3bilion
5.sheli iko kibaha eneo ukubwa ekari 1.5 ina pampu 5 na yadi kubwa yq kuingiza magari makubwa 30 bei 1.5bilion
kwa mnunuzi nitafute kwenye 0624117199
Sijaelewa hapa.
Kituo cha kuuza mafuta ni cha kampuni ya "SHELI"?
 
Sheli??? Duh aisee hivi unajua maana ya sheli? Wew utakuwa dalali aisee, siyo kila kitu unataka idalali vitu vingine vinataka uelewa pia
 
Back
Top Bottom