Lodge Gani Poa Mombo Korogwe?

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Oct 17, 2013
942
566
Wadau Nipo Na Toto Ya Kipare Nyeupe Sana Nalala Mombo Natoka Hedaru Vipi Lodge Gani Itanifaa Kwa Anaye Pafahamu Vizuri?
 
Kwah Kwah Kwah [HASHTAG]#joverest[/HASHTAG] Bana Una Visa Sana Discovery Inachanja Lami Ndani Kuna Mziki Wa Rhumba La Madilu Ala Ngayo Ngayo Ngayo Ala Ngayo Ngayo Mawah Toto Ya Kipare Inanukia Manukato From Saudi Arabia Ni Balaa Joto Ya Engine Inapiga Miguuni Kwa Toto
 
Hiki kifaa ulichotumia kuingilia jf kitumie kuangalia google maps na uliza maswali yako humo.

Humu tuna wivu tutakuacha ulale ndani ya gari.
 
Mombo tafta sehemu classic na ya ulinz ktosha maana hapo vibaka wengi sana uiienda lodge za hovyo utatoka huna hata buku ya supu, wahudumu hushirikiana na vibaka kuibia Wateja, mombo sio salama uwe na tahadhali za ktosha!
 
Korogwe pako vizuri zaidi achana na mombo..ingawa najua umeamua tu kuzingua..
 
Back
Top Bottom