'Lockdown' yapendekezwa nchini

Unajua kinachonishangaza ni kitu kimoja. Kuna watu wanashabikia corona kisiasa na kuacha wataalamu kutoa miongozo. Mfano kipindi kile cha mwendazake eti watu wapige nyungu halafu kuvaa barakoa hakuna. Inaingiaje akilini? Ugonjwa unasambazwa kwa njia ya hewa vaa barakoa then katika njia za kupambana jifukize.
lets say mtu anafanya shughuli zake ktk misongamano ya watu mfano kkoo havai barakoa huoni ana chances nyingi.za kuleta maambukizi home kwa wengine.
 
Naomba nitoe muongozo 1.sitachanjwa 2.barakoa sitavaa kamwe 3.sitajifungia ndan... Hata nikifa kwa korona ni bora kuliko kuwa mtumwa wa mabeberu.
Mungu amejisazia watu maelfu kwa maelfu ambao hatuko tayari kuwa mandondocha. Ubarikiwe mkuu.
 
Fafanua hapa kwenye 'kuzaliana Sana'

me nijuavyo kitakwimu Tanzania ina vijana na watoto wengi zaidi kuliko watu wazima na wazee.sasa km vijana ni wengi,vijana haohao wengi wetu hatujaoa na hatukai na wanawake,haya tuambie tunazaliana vipi sasa kukiwa na lock down..labda iseme kutakuwa na ongezeko la upingaji wa punyeto

Mkuu hili hili kundi la vijana ukiliwekea kizuizi cha kukaa ndani litaifanya shughuli ya kugegedana kwa kiwango cha juu.

Fikiria wanafunzi wa sekondari, wa vyuo na bado ma graduate kibao uwaambie sasa ni kukaa magetoni/nyumbani tu.

Kenya wamepata hili tatizo watoto wamefanyiwa sana ukatili wa kingono.
Kwenye kuzaliana Mkuu kuzaliana hata binti wa miaka 16 anaweza kubeba mimba si lazima awe kaolewa
 
Mkuu hili hili kundi la vijana ukiliwekea kizuizi cha kukaa ndani litaifanya shughuli ya kugegedana kwa kiwango cha juu.

Fikiria wanafunzi wa sekondari, wa vyuo na bado ma graduate kibao uwaambie sasa ni kukaa magetoni/nyumbani tu.

Kenya wamepata hili tatizo watoto wamefanyiwa sana ukatili wa kingono.
Kwenye kuzaliana Mkuu kuzaliana hata binti wa miaka 16 anaweza kubeba mimba si lazima awe kaolewa
Yes nimekuelewa sn mkuu .lkn swala la lock down Kwa kweli MUNGU aliepushe mbali..Mimi nitakuwa wa Kwanza kulipinga wakileta hicho kitu
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashangilia?
Fact
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashangilia?
Tatizo ni rushwa iliyotolewa na madalali wa chanjo, 10% ndio imewaroga, hiyo tume unaweza hisi ilijaa mataahira
 
kale ka hadithi ka Juu ya mti kuna joka, chini kuna simba Na mtoni kuna mamba ndo kamefika sasa.....

#SichomwiSindanoYaMabeberu.
 
Kwa kweli, kwenye hii dunia ukimuona mtanzania yeyote kuwa nae makini sana. Kuanzia raisi kushuka mpaka kwa watu wa kawaida. Miaka 60 baada ya uhuru watu wanaiba, halafu unaambiwa tukachome haya machanjo na watu hawa hawa wanaoiba bila aibu? Kweli Mungu atusaidie kama Magufuli alivyotuambia. Nyie watanzania ikiwezekana hawa viongozi wote wa ccm , upinzani na wastaafu wafungiwe kwenye lile bunge na wachomwe MOTO mpaka waive. China, Russia, USA, Italy n.k, walifanya hivi ila kwa njia tofauti na sasa wamepiga hatua. Tuwachomee hawa wanojiita viongozi wa watanzania. Tubaki na Damu ya vijana tuuu.
 
Naomba nitoe muongozo 1.sitachanjwa 2.barakoa sitavaa kamwe 3.sitajifungia ndan... Hata nikifa kwa korona ni bora kuliko kuwa mtumwa wa mabeberu.
Tatizo mkuu hauelewi hayo yote unayojiapiza kutoyafanya, yanafanyika fanyikaje!

Ukichanjwa unapewa kadi inayokuruhusu kutembea popote ndani na nje ya nchi.

Hautaruhusiwa kuzurula barabarani mdomo wazi bila ya kuvaa barakoa.

Kujifungia ndani si kwa hiyari yako wewe, bali ni kwa lazima na ukikaidi utakutana na mikong'oto ya kufa mtu barabarani mpaka mwenyewe utalia poh!

Mambo yote hayo hayafanywi kwa utashi wa mtu bali hufanywa kwa shurti serikali ikiamua.

Hivyo basi, tumuombe Mungu sana atuepushe na balaa hili linalotaka kuja usoni petu.
 
Back
Top Bottom