Hahaha, angani pia asitumie ndege, labda watumie magical infinity stones kama ThanosKwa hiyo wapite angani?? Kama anawafungia njia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂😂 Buda,hakuna kutoka nje🤣🤣🤣Upumbavu huu, kwahivyo mmesikia kwamba maagizo aliyoyatoa yameanza kutekelezwa punde tu alipomaliza hotuba yake? Bure kabisa, watu wa sampuli yenu hii ndio mlienda shuleni kuiba miwa.
Nje ya wapi? Bedroom au kitchen?Buda,hakuna kutoka nje
Haki wewe ni miongoni mwa wakenya wengi walio wapumbavu kupindukia, but I am not surprised if you can believe cerfews stops the spread of Corona Virus. soma comments za ndugu zako kwenye hiyo videoJombaa, acha kujiaibisha kuna exemptions k.m. kwa wahudumu wa afya, polisi, trucks za long distance n.k, sasa itakuwaje wanafunzi wakatazwe kuenda makwao wakati tayari shule zimefungwa? Upo excited kuhusu nini haswa? Naona hamjajifunza hata baada ya msiba wenu wa hivi majuzi ambao ulisababishwa na hivi hivi virusi vya COVID-19. Ukimaliza kuwabeza wakenya nenda ukapige nyungu, wadosi wako wapo safarini wakifata ventilator nchini Kenya.
Labda awamu hii polisi wenu wataacha kukamata watu na kuwakusanya pamoja kwa makundi ili kuwauzia wasikusanyike yaani na kupunguza maambukizi ya Covid-19mtu yeyote ambae atakua affected na cessation of movement ataenda kwa relevant authorities na kupata barua au kibali cha kuonyesha kwamba yeye anafaa kutoka point A hadi B kwa madhumuni flani na itaeleweka tu. maisha lazma yaendelee, haimaanishi kuwa watu sasa wamefungiwa kwenye zizi na kubanwa kufuli so hakuna kuingia wala kutoka.
serikali inajaribu tu kuzuia unnecessary movement.
Hayo maneno wambie watu wa kiambu na kajiado, sisi hayatuhusu km wana 001
yule wenu kichwa ngumu alikataa ushauri, uliona yaliyomkuta?This Man anahitaji Timu nzuri ya Washauri
yule wenu kichwa ngumu alikataa ushauri, uliona yaliyomkuta?
Yaani hadi nashangaaHii COVID 19 kama masikhara inatikisa dunia
Umepanic kinomaUpumbavu huu, kwahivyo mmesikia kwamba maagizo aliyoyatoa yameanza kutekelezwa punde tu alipomaliza hotuba yake? Bure kabisa, watu wa sampuli yenu hii ndio mlienda shuleni kuiba miwa.
mwenzenu alijifanya Starring eti Starring hawezi kuenda na maji, kumbe loh! nina uhakika iwapo angeshinda vita ile basi angejiita mungu kabisa.ndiye kiongozi kweli,huyo wenu anatoa kafara nyani yeye hapana.