Lockdown Kenya-Uhuru Kenya afunga Vyuo na Shule huku akifunga njia za wanafunzi kurejea makwao

So nyie mnafanya kwa kuwa nchi flan imefanya? , ningewaona smart kama mngekuja na mbinu zenu binafsi ndo tujue nani ni nani , nyie na wote mliofuata kanuni za mabeberu hali ikoje ya corona ? Did corona disappear ? Na je hizo njia zenu zimefanikiwa? YES or NO? Mnakufa kama mbuzi hamkufi?

Sasa na chanjo zote majiran zetu mmeletewa still corona seems to be a threat what’s a use? Hizo curfews mnafungiwa kama mbuzi za nini ? Sasa apo sisi na nyie nani punguani?

Jiran nakukumbusha tu , corona itawaua, curfew itawapa depression n trauma mkufe, vaccines zitawaua na mtakufa njaa mtuache sie tukidunda, tunajua tu mko na machukizo na wivu na watz, saa hii tuko out having fun nyie mko ndan mmefungiwa kama kuku , I can feel the pain bro

I wanted to hear all countries waliofuata WHO guidelines nchi zao ziko Free na corona au hali zao kidogo haueni ila majiran kwenu ni vilio tu na makasiriko,ni kusota tu mnasota

Na niulize ni shule gan hyo mlienda ikasema corona Ina strike after 8pm? Ni kurogwa mmerogwa au ? Mchana kote mnatembeza makalio zenu mkijua corona haipo But usiku ndo ipo , majiran ni bangi gan hyo mmeanza kuvuta Siku hizi ?
Tuibuke na mbinu zetu zipi hizo za kupambana na maambukizi ya COVID-19 zaidi ya zile zilizoafikiwa kupitia tafiti za kisayansi? Kupiga nyungu, kubugia 'chanjo' ya mix ya tangawizi na malimao au ni ile ya kufata kikombe cha DJ wa Madagascar hadi Antananarivo?

Hivi ni nani duniani ambaye ana hati miliki ya sayansi? Mbona mnalazimisha sana kutuponda kwa vitu ambavyo nyinyi wenyewe mnaojiita 'akili kubwa' hamna idea kuyahusu? Mmeibuka na nini la maana tangia janga hili lianze kutuvuruga, ili muigwe na dunia nzima ifaidi?
 
mwenzenu alijifanya Starring eti Starring hawezi kuenda na maji, kumbe loh! nina uhakika iwapo angeshinda vita ile basi angejiita mungu kabisa.
subiri na wewe pia yakukute pengine unaweza au usiweze kuja kuleta ushuhuda.
Unaongea hivyo kana kwamba utaishi milele..

Ni heri kunyimwa Mali,kuliko kunyimwa akili
 
kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa kwa style gani.
sio kuja kufa kizembe namna starring wako alivyochotwa
Kifo hakina mjanja wala mzembe,mnene wala mwembamba,bright or fool,mrefu au mfupi yeyote hufa wakati wowote..unaweza ukajiona mjanja kujikinga dhidi ya covid,ukafa kwa kugongwa na bodaboda,yaani ni kifo..unaweza ukafa kwa kipindupindu au kuchomwa moto,vyote ni kifo,hakuna kifo kizuri

Utumiege akili unapojadili vitu sensitive kama hivi
 
Hawa jamaa walirogwa sio siri. Hata baada ya COVID-19 kupita na dikteta wao bado hawaamini kwamba janga hili ni la kweli. Yaani ni kama dejavu, wamerudi pale pale walipokuwa bila kujifunza jambo lolote! Ndio wale sikio la kufa ambalo wahenga walikuwa wanalizungumzia.
Huko kenya watu hawafi kwa covid!??..na mlianza lini kuvaa masks??!!?..
 
Tuibuke na mbinu zetu zipi hizo za kupambana na maambukizi ya COVID-19 zaidi ya zile zilizoafikiwa kupitia tafiti za kisayansi? Kupiga nyungu, kubugia 'chanjo' ya mix ya tangawizi na malimao au ni ile ya kufata kikombe cha DJ wa Madagascar hadi Antananarivo?

Hivi ni nani duniani ambaye ana hati miliki ya sayansi? Mbona mnalazimisha sana kutuponda kwa vitu ambavyo nyinyi wenyewe mnaojiita 'akili kubwa' hamna idea kuyahusu? Mmeibuka na nini la maana tangia janga hili lianze kutuvuruga, ili muigwe na dunia nzima ifaidi?

Jirani kitu chenye naweza kuwashauri ni kuondoa hiyo mental slavely yenyu na kuja na mbinu zenu binafsi kujikomboa na hili janga la corona, hao mabwana zenu wazungu wenyewe bado wanasota na corona with all high technology facilities bado corona inawaua, na nyie akili zenyu fupi mkaona muwafuate na mbinu yao hiyo hiyo na nyie mnaendelea kufa kama mbwa na kufungiwa mmefungiwa

Hivi kwan hamuon kwetu tunavyoishi? Hatuna stress wala uoga n we know the fact corona ipo , hatuvai masks, hatuna curfews wala lockdown na life goes on as usual , kama tungekua tunakufa nacorona basi msiba wa maguful ungeua millions of people venye crowd ilikua ya kutosha

The entire world knows that Tz we are the baddest , corona saga imetupa heshima sana duniani ni vile tu hawataki ku acknowledge , ila we are the good example you all should learn from
 
Kifo hakina mjanja wala mzembe,mnene wala mwembamba,bright or fool,mrefu au mfupi yeyote hufa wakati wowote..unaweza ukajiona mjanja kujikinga dhidi ya covid,ukafa kwa kugongwa na bodaboda,yaani ni kifo..unaweza ukafa kwa kipindupindu au kuchomwa moto,vyote ni kifo,hakuna kifo kizuri

Utumiege akili unapojadili vitu sensitive kama hivi

Lalela babes , what I don’t get is , mmefuata all scientific protocols za hao wazungu na still corona bado iko strong nchjni kwenyu, hivi hamshtuki tu ? Mnatudharau kwa kuwa sie maskini ila ipo siku mtatusalimia kwa heshima mkuu, vaccines zitawaua, corona itawaua, curfew itawaua na depression na uchumi wenu utazidi kuporomoka.

Sasa kama mko na kila kitu chenye wazungu wamewapa na bado mnafungiwa na bado mnakufa what should we learn from you guys ????? Na sisi tuchukue tuendelee kufa? ,babes you seems to be smart use your common sense just a little bit
 
Huko kenya watu hawafi kwa covid!??..na mlianza lini kuvaa masks??!!?..

My boyfriend ako kenya na ni daktari Nairobi hospital , he was vaccinated na yet he was diagnosed with corona just a week ago after vaccine , Nairobi hospital yenyewe wagonjwa wamejaa hadi ICU hakuna nafasi, watu wako very ill, mnataka kutuambia nini? I know Kenya very well, nilikuja wakat wa curfew last year , ni huzun tu na mahangaiko huko , watu wanaishi kama wakimbizi, mkienda Bar ikifika 9pm mnaanza kufukuzwa kama umbwa what a shame
 
Wakenya bana,curfews na lock down zote ndio kwanza wanateketea kama mende
Acheni watu wafuate masharti huku wakifanya shughuli zao,hilo gonjwa haliondoki ni kama TB
 
Back
Top Bottom