Nadhani umekosea kuiwasilisha hii mada hapa kwenye jukwaa la elimu,ipeleke kwenye jukwaa la utani
Wakuu,wale wote mlokua na mikopo ktk yale majina ya mwanzo bac frm nw jìhesabuni hamna mkopo,zoezi linarudiwa upya.source,mtu wa karibu na bodi ya mikopo.