Mkuu we ni mnufaika wa uzembe wake kazini?? Unamtetea mtu ambae hayuko responsible kwa kazi yake, pia unamfahamu kwa mambo mengine sio utendaji wa kazi.huyu dogo aache utoto huyo loan officer namfaham wala hyupo hivyo....nlipiga kitabu hapo wakat namba z wanafunzi mfano mtu wa banking ilisomeka imc/bbf/10/754...,kuchelewa kwa kitu kusikufanye utake kumuhalibia mtu sifa na kazi yake
acheni kuhukumu watu mapema na kuwapa majina ya ajabu,kama unayosema ni ya ukweli basi weka jina lako kamili hapa na legislation number yako,then tutajua unapataje msaada HESELB ila kama unadanganya utawajibika pia...Mkuu we ni mnufaika wa uzembe wake kazini?? Unamtetea mtu ambae hayuko responsible kwa kazi yake, pia unamfahamu kwa mambo mengine sio utendaji wa kazi.