Hii ni serikali ya awam ya 5.Tulia ww mm tayari nimeuza hadi nyumba nataka watoe majina nijue nitatoboa au nianze biashara tu
Mi nakwambia wewe, kwa jiwe una matumaini?Pw subiri kwanza watoe nimeona wanachokonoa watupie majina na link hiyo haifanyi kazi
Najua ila kwa jiwe hajui hilo!Ww tulia bro maisha haya ujue