tunataka vielelezo
sio taarifa za miataani
kwani tuhuma zinatakiwa ziwe na ushahidi
mwandishi ameweka wazi kwamba hizi ni tetesi na sio tuhuma.........hivyo basi tusubiri tuone kama ni kweli au la! ..........taarifa zote zinaanzia mitaani.
Mwandishi ameweka wazi kwamba hizi ni TETESI na sio TUHUMA.........hivyo basi tusubiri tuone kama ni kweli au la! ..........Taarifa zote zinaanzia mitaani.