Wakuu yule jamaa anayetuhumiwa kusambaza umeme kwa kasi ambayo hata Ngeleja/Tanesco hawawezi kuifikia leo kaachiwa na yuko huru baada ya kukaa jela kwa muda mrefu.Sasa tunavyojua tamaa za hapa mujini na njemba ilivyo na faranga na ukame/usongo alokuwanao sijui kama hiki kizazi cha Carolight kitapona.