Mi naona kama hakumtosa inawezekana kabisa alimbeba, kwani kosa alilofanya na adhabu aliyopewa vinalingana? ungekuwa ni wewe pengine kesi ingebadilika na ungeitwa mhujumu uchumi na adhabu yake pengine ikawa miaka 20 jela. hata hivyo mfungwa kukutwa na cm gerezani ni kesi nyingine, kwani umesikia kesi hiyo ikisikilizwa mahakamni? huu ni usanii mtupu!!!!!
Vipi Papa Liyumba Atarudi BOT.
duh hii kweli bongo.!!! kila mtu anaubavu...
Tutafutane kesho basi