Hivi hii kesi nyingine ya Liyumba ya kukukwa na simu gerezani mbona mi sielewi, inakuwaje anakutwa na simu gerezani? Yaani iliingiaje na hiyo simu? Au kuna wafungwa wengine hawakaguliwi wakitoka na kuingia tena gerezani labda kama alienda Mahakamani! Halafu mbaya zaidi nasikia Mh. Rais ndiye aliyehoji baada ya kupokea simu kutoka kwa Liyumba akiwa gerezani (Kama ni kweli).