Uchaguzi 2020 Liwale: Mgombea Urais wa JMT kupitia ADC aendelea na Kampeni

ADC Party

Member
Sep 14, 2020
28
29
Leo Mgombea wa kiti cha Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ADC, Bi Queen Cuthbert Sendiga ameendelea na Mikutano yake katika wilaya ya Liwale.

Habari picha akiongea na wananchi wa kijiji cha Kichonda, wilaya ya Liwale aliweza kuelezea kiundani na kusisitiza katika kipaumbele chake cha Kilimo akiwasihi wananchi hawa maboresho katika sekta hiyo ni ya muhimu na ndo tiba pekee ya kuwapelekea maendeleo ya kweli katika kijiji na wilaya yao, amewaomba ikifika tarehe 28/10/2020 wakampe kura ya ndio na wakamuamini ili aende kuwatumikia na kuwaletea maendeleo ya kweli.

F537D294-9FCB-4FF5-8493-B547B834C476.jpeg
C8D18836-0B7E-4452-B1E6-3BBD9A76307B.jpeg
01499B08-4F26-4BD8-9A4A-85807D70982B.jpeg


Kesho ataendelea na kampeni zake katika maeneo ya Lindi Mjini na Nachingwea
 
Vizuri sana bt huyo aliyevaa miwani nyeusi nyuma ya huyu mgombea wetu ana cheo gani hapo chamani?
 
Ifikie mahali tuache mambo ya vyama mia vya upinzani n.k. Tuweke mfumo wa vyama viwili tu Chama tawala na Chama cha upinzani kimoja chenye nguvu

Sio kila siku vituko wakati wa uchaguzi sio kabisa

Sasa mzee wa ubwabwa nae anataka uraisi

Mfano Dada uyo nayo anataka kuwa raisi

Izi ni vurugu sio uchaguzi ndo maana Chama tawala wanauwezo wakugawa wananchi kwa kutumia vyama vingine vya upinzani visivyo na muelekeo
 
Ifikie mahali tuache mambo ya vyama mia vya upinzani n.k. Tuweke mfumo wa vyama viwili tu Chama tawala na Chama cha upinzani kimoja chenye nguvu

Sio kila siku vituko wakati wa uchaguzi sio kabisa

Sasa mzee wa ubwabwa nae anataka uraisi

Mfano Dada uyo nayo anataka kuwa raisi

Izi ni vurugu sio uchaguzi ndo maana Chama tawala wanauwezo wakugawa wananchi kwa kutumia vyama vingine vya upinzani visivyo na muelekeo
Tatizo ni njaa hvi vyama watu wanafanya kama ndo Saccos zao za kujipatia fedha ,hapo hata ukija na WaPo la kuungana ili kipatkane chama kimoja cha upinzani basi wala hakuna w kukusikiliza.
 
Back
Top Bottom