figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Liwale: Mgombea Ubunge wa CHADEMA Jimbo la Liwale, Ndugu Juma Rashid Upinde amerejesha fomu yake, ambapo imepokelewa saa 5:52 asubuhi na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo, Luiza Mlelwa.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Kikao Maalum cha Kamati Kuu iliyoketi Jumatatu, Septemba 10, 2018, jijini Dar es Salaam, kimemteua Ndugu Juma Rashid Upinde kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Liwale, katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 13, mwaka huu
Ndugu Upinde ni mmoja wa wanachama waandamizi wa CHADEMA Kanda ya Kusini (Lindi, Mtwara na Ruvuma) akiwa ameshiriki kukijenga na kukiimarisha chama katika maeneo hayo kupitia shughuli na harakati mbalimbali kwa muda mrefu.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Liwale kwa tiketi ya CHADEMA ndugu UPINDE Juma Rashid akiwasilisha fomu ya uteuzi kwa kugombea kwa Msimamizi wa Uchaguzi Bi. Luiza Oswin Mlelwa ambaye alikuwa na wasaidizi wake pia. Fomu ilipokelewa saa tano na dakika hamsini na mbili (5:52) asubuhi.
=======
Uzi wa CCM kupitisha Zuberi Kuchauka
CCM yampitisha aliyeachia ubunge Liwale Zuberi Kuchauka kugombea tena - JamiiForums
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Kikao Maalum cha Kamati Kuu iliyoketi Jumatatu, Septemba 10, 2018, jijini Dar es Salaam, kimemteua Ndugu Juma Rashid Upinde kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Liwale, katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 13, mwaka huu
Ndugu Upinde ni mmoja wa wanachama waandamizi wa CHADEMA Kanda ya Kusini (Lindi, Mtwara na Ruvuma) akiwa ameshiriki kukijenga na kukiimarisha chama katika maeneo hayo kupitia shughuli na harakati mbalimbali kwa muda mrefu.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Liwale kwa tiketi ya CHADEMA ndugu UPINDE Juma Rashid akiwasilisha fomu ya uteuzi kwa kugombea kwa Msimamizi wa Uchaguzi Bi. Luiza Oswin Mlelwa ambaye alikuwa na wasaidizi wake pia. Fomu ilipokelewa saa tano na dakika hamsini na mbili (5:52) asubuhi.
=======
Uzi wa CCM kupitisha Zuberi Kuchauka
CCM yampitisha aliyeachia ubunge Liwale Zuberi Kuchauka kugombea tena - JamiiForums