Namsikiliza Livingstone Lusinde, kama kawaida yake anafikiri zile siasa zake za kutukana na kupayuka Bungeni bado zina nafasi kwa Tanzania ya leo. Nampa pole, nafahamu siku za nyuma alikuwa akitumwa na Chief Whip kwa agenda zao Bungeni hasa kufunika masuala kadhaa ya ufisadi , kushambulia upinzani na kista kumsifia Hayati Mhe. JPM. Kwa siku zote hizo alikuwa akilipwa fedha za walipa kodi kama shukrani. Lusinde akaona hayo ndo maisha, akanunua na BMW Nyeusi, akajiona mwenye heri sana.
Tangu Mhe. JPM amefariki, mirija ya Lusinde imekatwa, leo anajidai kujipendekeza kwa Mheshiwa Rais aliyepo akidhani mirija itafunguka, tunampa pole hakuna fedha za Rogue Units kama ilivyokuwa hapo awali. Lusinde utaongea hadi sauti hadi iishe, Mama Samia hana muda na wewe, ana akili zake na ana wasaidizi wake wanaomshauri ipasavyo.
Mwisho niwashauri Lusinde, Msukuma, Jenister na wenzenu, nguzo yenu imeanguka, muukubali ukweli wa Mungu kuwa JPM ametangulia mbele ya haki na Rais aliyepo ni Mhe. Samia Hassan. Aidha, Ndugai kuwa makini na Lusinde aliwahi kusema utarudi kama CARGO ukiwa matibabu India. Ni bahati ulirudi ukiwa mzima.
Tangu Mhe. JPM amefariki, mirija ya Lusinde imekatwa, leo anajidai kujipendekeza kwa Mheshiwa Rais aliyepo akidhani mirija itafunguka, tunampa pole hakuna fedha za Rogue Units kama ilivyokuwa hapo awali. Lusinde utaongea hadi sauti hadi iishe, Mama Samia hana muda na wewe, ana akili zake na ana wasaidizi wake wanaomshauri ipasavyo.
Mwisho niwashauri Lusinde, Msukuma, Jenister na wenzenu, nguzo yenu imeanguka, muukubali ukweli wa Mungu kuwa JPM ametangulia mbele ya haki na Rais aliyepo ni Mhe. Samia Hassan. Aidha, Ndugai kuwa makini na Lusinde aliwahi kusema utarudi kama CARGO ukiwa matibabu India. Ni bahati ulirudi ukiwa mzima.