Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,323
- 217,339
Hivi huyu jamaa alipataje Ubunge?
huyu bado hajarudi kutoka China aje kumrarua Membe kama alivyoahidi??Hivi huyu jamaa alipataje Ubunge ?
Inawezekana aliupata kutokea guest house... kwa mujibu wa kauli yakeHivi huyu jamaa alipataje Ubunge?
View attachment 1236181
Wanajisahaulisha... yeye nje ya ubunge na upambe ni sawa na galasa la karata.Yeye anategemea ajira ya bunge na anataka vijana wajiajiri
Huyu jamaa ni kituko cha karne !Yeye anategemea ajira ya bunge na anataka vijana wajiajiri
Wasifanye mapenzi ..?Huyu dingii anazingua.
Nakubaliana nawewe,ila yale yanayozidi kiasi.Mapenzi kwenye kutafuta yanaleta umaskini
Sasa hataki wenye gesti wapige helaHuyu jamaa ni kituko cha karne !
jikite kwenye madaKwani wabunge WA chadema walipataje ubunge
Soon menina mtampatia teuzi....Kwani wabunge WA chadema walipataje ubunge