gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Hahahaha Lusinde bhana eti JPM anabadilisha mfumo!!! Huyu mbunge anajua hata maana ya mfumo kweli?!!!! Halafu anasema wao wamemwajibisha Kitwanga! Yaani huyu babu wa akili anachowaza mle ni itikadi tu badala ya utaifa hata hajui utofauti wa serikali na chama ndani ya bunge, yeye akiwa mle ndani ya bunge anaamini ndio serikali sababu yuko ccm! Hajui hata majukumu ya kibunge na Serikali ndani bunge, kuwa na wabunge wa namna hii katika karne hii ya sayansi na teknolojia ni majanga makubwa