amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 462
Hata ukivaaa utaonekna ni shida tu maana hakuna anayekufaham zaid ya watu watajua umeanza kudata tuHee! Hawa jamaa vipi? Embu ona mtoto wa Jay Z kavaa zile raba za DHL (Dingi hana uwezo) na pia ona kituko alichovaa Beyonce, iyo nguo pamoja na umasikini wangu hata siwezi kuivaa! Kweli maisha ni yale yale tu...