Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Naangalia hapa acceptance speech ya Tundu Lissu.
Hoja zake nyingi, hususan zile za nguvu na uwezo wa rais, nazikubali.
Cha kushangaza ni kwamba, kila akianza kumrushia vijembe na madongo Rais Magufuli, sauti inapotea kwa muda halafu baadaye kidogo inarudi.
Anaendelea tena kuongea, lakini akianza tu kumchana Magufuli, sauti inapotea!!
Ni mimi tu ndo inanitokea? Au na wengine mmeliona hilo?
Hoja zake nyingi, hususan zile za nguvu na uwezo wa rais, nazikubali.
Cha kushangaza ni kwamba, kila akianza kumrushia vijembe na madongo Rais Magufuli, sauti inapotea kwa muda halafu baadaye kidogo inarudi.
Anaendelea tena kuongea, lakini akianza tu kumchana Magufuli, sauti inapotea!!
Ni mimi tu ndo inanitokea? Au na wengine mmeliona hilo?