Yes iam
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 258
- 370
N aje guys
Jumapili hii kutakuwa na mpambano wa kukata na shoka pale England hawa vidume wawili kwa mtazamo wangu ndo anapatikana bingwa wa Epl
Huku Liverpool wakiwa kwenye ubora wa hali ya juu msimu huu na hawajapoteza game hata moja wanatarajia kuwakaribisha Manchester city ambao hawajawa na Msimu mzuri ikiwa had sasa hiv wamepoteza mechi mbili.
kwa upande wangu nawapa nafas Manchester city kushinda hii mechi na Bernad Silva kuwa chachu kweny kutingisha ngome ya Liverpool, ;;
Result Ft Liverpool 1-3 Man city
Jumapili hii kutakuwa na mpambano wa kukata na shoka pale England hawa vidume wawili kwa mtazamo wangu ndo anapatikana bingwa wa Epl
Huku Liverpool wakiwa kwenye ubora wa hali ya juu msimu huu na hawajapoteza game hata moja wanatarajia kuwakaribisha Manchester city ambao hawajawa na Msimu mzuri ikiwa had sasa hiv wamepoteza mechi mbili.
kwa upande wangu nawapa nafas Manchester city kushinda hii mechi na Bernad Silva kuwa chachu kweny kutingisha ngome ya Liverpool, ;;
Result Ft Liverpool 1-3 Man city