Yieen
Senior Member
- May 8, 2012
- 103
- 27
Ndg zangu, inaniuma na ninaamia sana kuiona Liverpool ikiwa katika hali hii, mwanzo niliona ni mapito tu, kwani wachezaji wengi pia walikuwa ni wapya sasa nashangaa, kila siku tunafungwa Kama watoto wadogo,,ivi tatizo nini asee... Hadi man united walikuwa nyuma kabisa sasa ivi wameshapanda juu, Sisi kila siku ni kuporomoka tu...inaniuma sana.