hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,538
- 18,720
Liverpool baada ya kulikosa kombe kwa sababu za miujiza msimu wa 2013/2014, kisha kulikosa tena mwaka jana hata baada ya kuongoza ligi muda mrefu. Mwaka huu gundu jingine tena limetokea..!
Gundu yenyewe ni WWW3 Vita ya Tatu ya Dunia,
baada ya Trump kumuua Jenerali wa Iran, Iran imetangaza lazima ilipize kisasi, muda si mrefu kabla ligi haijaisha Iran itaipiza kisasi, na vita itatokea, sababu Iran ni nchi kubwa sana, itabidi Uingereza, Ujerumani, ufaransa nazo ziingie kuisaidia America, China, Urusi, Lebanon, Pakistan, North Korea nazo zitakuwa upande wa Iran,
Kitanuka ajabu sana na ligi zote duniani zitafutwa sababu ya usalama, na Liverpool ndio hivyo tena..
Imekosa ubingwa kwa sababu nyingine za ajabu kaisa ambazo hakuna aliyetegemea,,
Poleni mashabki wa Liverpool , OMBENI VITA ISITOKEE JAPO IRAN WAMEANZA KUKIAMSHA HUKO
Gundu yenyewe ni WWW3 Vita ya Tatu ya Dunia,
baada ya Trump kumuua Jenerali wa Iran, Iran imetangaza lazima ilipize kisasi, muda si mrefu kabla ligi haijaisha Iran itaipiza kisasi, na vita itatokea, sababu Iran ni nchi kubwa sana, itabidi Uingereza, Ujerumani, ufaransa nazo ziingie kuisaidia America, China, Urusi, Lebanon, Pakistan, North Korea nazo zitakuwa upande wa Iran,
Kitanuka ajabu sana na ligi zote duniani zitafutwa sababu ya usalama, na Liverpool ndio hivyo tena..
Imekosa ubingwa kwa sababu nyingine za ajabu kaisa ambazo hakuna aliyetegemea,,
Poleni mashabki wa Liverpool , OMBENI VITA ISITOKEE JAPO IRAN WAMEANZA KUKIAMSHA HUKO