Liverpool kesho jiandae kwa kichapo hatunaga mzaha kwenye fainali

nilivyoangalia mchezo wa leo baina ya Liverpool na Chelsea nikajikuta nina miss tena mashindano ya FIFA Women World Cup. Timu zoite mbili zilicheza hovyo sana; naona kama haziwezi kuzikabili timu za wanawake za USA, France, Netherlands na Sweden na England
 
Back
Top Bottom