SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
EPL - It’s coming home
Mpinzani wa LiverpooL ni Manchester City bana!, hyo man united imebaki historia tu.Jazba ya nini na nani dogo ?.
Nani asiyejua kua Liverpool ya sasa haikamatiki na mshindani wake amekubali matokeo.
Nimemjibu mleta mada kulingana na mtazamo wangu kulingana na ushindani uliopo na utakaukawapo kati ya Liver na Man U/City.
Nimemjibu mleta mada kulingana na misimu iliyopita ambayo Liverpool alikuwa anaelekea kuchukua ubingwa lakini gafla Man U/City wakutwaa huu ubingwa na kimuacha Liver katika nafasi 2 au 3.
Japo Liverpool mwaka huu mnabeba kombe lakini wapinzani wenu hasa Man U hawapo vzr lakini hii haimanishi msinge beba kombe ila gepu la point lingekuwa dogo.
MAN CITY FOREVER
2018/2019 EpL ndo ligi bora kijana!. Facts zipo kila mtu anajua...Zimeingiza timu 5 kwnye UEFA.na Tumeshuhudia fainali za uefA na Ueropa Zikitawala timu za England.Makombe ya ULAYA yamenda England....... Hzo ndo FactS... so TuliaaaEPL sio ligi bora ndio maana msimu uliopita LA LIGA iliingiza timu nne kwenye fainali za EUROPA na UEFA.
Yaani unaiita Real madrid kiboko ya Barcelona n wametoka kupigwa 5 mwaka janabarcelona ilifundishwa na Pep katika kipindi hicho unachotaja. Barcelona ilikuwa moto sana na ikabeba makombe yote muhimu uliyotaja kasoro club champs.
Pep alipohamia epl akaifundisha Man City na ikawa moto sana , lakini wakati City anatesa epl meneja aliyemtoa nishai Pep ni Klopp{kwenye epl na UCL mara mbili)
Baada ya Klopp kuimarika
1: Kaingia fainali mara 2 mfululizo kwenye UCL( kafungwa na Madrid kiboko ya Barcelona)
2 katika hizo mbili kabeba kombe(ubora wa epl unajidhihirisha kwa kutoa finalist wawili(spurs na The reds
3. Klopp kabeba super cup
4.Klopp kabeba club champs
5; liverpool inaongoza epl na itabeba ubingwa kabla ligi haijafika tamati
6 Vilabu vya england vilivyoshiriki UCL msimu huu vimeingia 16 bora ya UCL ni ushahidi kuwa epl ni ligi bora
7 liverpool kwa msimu huu imepata majeruhi wengi kuliko team yoyote( becker, gomes, matip, lovren, shaqir, manne, hendo, keita,Chambo,salla,fabinho,) na mashabiki walisema liver ina kikosi kifinyu lakini imeonekana sio kweli(teenagers) wameifunga eveton
Nimalize kwa kuandika:
morali wa ushindi walionao liver unawapa asilimia kubwa sana ya kufanya vizuri, wakitaka seriously wanabeba ucl na fa cups.
.
Wakati madrid anachukua Uefa na Sevilla anachukua Europa Back to back mlikuwa wapi ?ligi bora
bahati ya kombe ikiwa upande wako, utashinda kwa namna yoyote ile.
Epl ni ligi bora!Nani alijua liver angeongoza ligi kwa point zote hizo?tena mbele ya man city na gurdiola ?Nani anajua msimu ujao nani bingwa wa epl?japo mi naamini liver ni bingwa mwakani!!!Epl imetoa mabingwa karibia watano tofauti tofauti wa epl ndani ya miaka kumi yaani chelsea,leicester,man utd,man city na liverpool msim huu!!!Lakin ligi nyingine mabingwa wanatabirika sana!!kama serie a,bundesliga,laliga,lig one!!!LIVA NI BORA TANGU MSIMU JANA HADI MSIM KESHO!MSIM KESHOKUTWA NAMUONA SPURS,LEICESTER NA MAN CITY WAKIWA JUU NA ARSENAL PIA COZ ARTETA YUPO FIT SANA!!!
Hao liver hata wakikutana na akina Med Kahirizi wanakalishwa? Ila hata timu za mabara mengine zimekalishwa na Liver mwaka huu, au ligi zote mwaka huu ni mbovu?Wachambuzi wa Kibongo ujuaji mwingi, Angalia ligi yenu sasa ipo ICU.
Itoshe kusema una kichwa kigumu sana, umeshindwa kumwelewa uliyemquote2018/2019 EpL ndo ligi bora kijana!. Facts zipo kila mtu anajua...Zimeingiza timu 5 kwnye UEFA.na Tumeshuhudia fainali za uefA na Ueropa Zikitawala timu za England.Makombe ya ULAYA yamenda England....... Hzo ndo FactS... so Tuliaaa
Lakini laliga hawajawahi kuingiza timu nne kwenye faina za ulayaWakati madrid anachukua Uefa na Sevilla anachukua Europa Back to back mlikuwa wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haipendi EPL si liva
Kwa haya matokeo ya Liver hata turudi miaka 20 nyuma ktk ligi tano bingwa ulaya bado Liver angeongoza kwa points zisizopungua 10 hvyo EPL haiweza kuwa ligi mbovu kisa liver anaongoza kwa gap kubwa maana ktk mechi 25 kashinda 24 kadraw 1 hii haijawai kutokea mkuu kwa misimu ya HV karibu tukiangalia Ligue 1 PSG huwa anaongoza kwa point 20+ akiwa kafungwa na kudraw mechi kadhaa,Bundesliga Bayarn anaongoza akiwa na kapoteza na kudraw michezo kibao the same to Seria A ya JuveMashabiki ya EPL ni wagumu kuelewa, lakini naona msimu huu wanaumbuka. Ligi gani bora timu ya juu inaongoza ligi kwa point 22? Huwa ninasema humu EPL ni ligi ya vibonde watu wanakataa. Nadhani msimu huu imedhihirika wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Liver miaka yote atakaa kwa MadridEPL ni ligi ya wagonjwa, mwenye nafuu kuliko wote ndio anayechukua ubingwa
Nakuhakikishi, japo Real Madrid haifanyi vizuri sana msimu huu ila ikikutana na Liverpool hii, itakua ni aibu.
Ukiileta timu yoyote ya ulaya hapo EPL haiwezi kuzifikia hizo points za liver ukweli usemwe ushabiki pembeni@IamManUTD FanLabda ukiongea wewe utaeleweka. EPL ni ligi mbovu yenye timu mbovu zinazofanana kiwango. Isipokuwa msimu huu Liverpool iko juu zaidi ya wenzake.