Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Dalmine chaliiii yangu aiseee ulipoteaga wapi? Yani hata kwenye thread za kuuwawawa Qassim Solemani mwanzo mwanzo hukuonekana jamvini
Bro nipo, majukumu yamenibana. Kwema Lakini?
Dalmine chaliiii yangu aiseee ulipoteaga wapi? Yani hata kwenye thread za kuuwawawa Qassim Solemani mwanzo mwanzo hukuonekana jamvini
ongeza sauti usikike vizuriMzuqa wanajamvi!
Kuna wasiwasi wa Liver kutokutwaa ubingwa wa EPL kutokana na homa ya mafua Coronavirus kuingia Uingereza na kuthibitika leo watu wanne wanayo huko Scotland baada ya kutoka nayo China.
Huu ungonjwa unasambaa kwa kasi ya ajabu na kwa muda wa miezi miwili tu itaambukiza mamilioni ya watu Uingereza na kuleta maafa. Shughuli zote zitasimama pamoja EPL na kusababisha Liver kukosa ubingwa.