punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Mkuu 'mwezi kamili' yaani ulikuwepo hapa peke yako!! Hongera sana mkuu, vijana wetu wanaimarika taratibu, maana hapo dw siyo sehemu rahisi kucheza..
Mkuu 'mwezi kamili' yaani ulikuwepo hapa peke yako!! Hongera sana mkuu, vijana wetu wanaimarika taratibu, maana hapo dw siyo sehemu rahisi kucheza..
eeh jamani tutamkoma Gareth Bale wiki hii..duh hadi naogopa kuangalia
Hawezi kufanya kitu chochote. Kinachotakiwa tuwe makini kwenye marking.....Tumkamate Mousa Dembele na Scott Parker pale kati na Jose Enrique ale sahani moja na Aaron Lennon...Stewart Downing akomae na Assou Ekotto ili Johnson apate muda wa kupanda. Steven Gerrard na Lucas Leiva wacheze double defense na Coutinho acheze nyuma ya Suarez na Sturridge....Hawatoki wale. Uziri Martin Skrtel atarudi kusaidiana na Dagger. Hawatoki wale kesho. You will never walk aloneeeh jamani tutamkoma Gareth Bale wiki hii..duh hadi naogopa kuangalia
Jamani mechi ya kesho inanyima usingizi kabisa, Mungu saidia tushinde maana spurs walishatunyanyasa sana
Mechi itakua saa ngpi?ynwa
Na ndio walimkoma leo!Nao watamkoma Luis Suarez wetu...ebo!!
Hakuna cha Bale wala Belly ..Go LFC Go!!!
Haahaaa! Mkuu, kumbe na wewe ulikuwa tumbo moto? Kwa kweli hata mimi nilikuwa najiuliza tutamdhibiti vipi huyo jamaa...eeh jamani tutamkoma Gareth Bale wiki hii..duh hadi naogopa kuangalia
Haahaaa! Mkuu, kumbe na wewe ulikuwa tumbo moto? Kwa kweli hata mimi nilikuwa najiuliza tutamdhibiti vipi huyo jamaa...