Tusiposhinda basi tutakua majuha, Chelsea alisare vs Burnley , jioni tukapoteza kwa westham

leo wamepoteza , jioni tunaelekea kutoa sare
kwa mentality hii ya kushindwa kufaidika na kupoteza point kwa aliyejuu yetu basi ubingwa tutausikia tuu
 
Tusiposhinda basi tutakua majuha, Chelsea alisare vs Burnley , jioni tukapoteza kwa westham

leo wamepoteza , jioni tunaelekea kutoa sare
kwa mentality hii ya kushindwa kufaidika na kupoteza point kwa aliyejuu yetu basi ubingwa tutausikia tuu
Mechi ni nyingii bado
 
Liver kwenye kukimbiza mwizi ni fungu la kukosa, rejea msimu tunamaliza na points 97 naona kabisa yanaenda kujirudia tena ya ule msimu

Tunapoteza focus kila tukipata nafasi ya kwenda kileleni
 
Back
Top Bottom