ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,051
Nikuulize ivi Pain Killer yupo wapi? Kama mumemteka au mumemuuwa muhakikishe Mahakama/Kisutu inawahusu.
Yupo anaugua kimya kimya na kuimba nyimbo xa hapa na pale. Hususani anapowaza jinsi tulivyo mpiga mara tatu na kuchukua UEFA aamini
Sasa ivi anakuja na kauli za kuuzunisha sana eti ohoo UEFA haikuwa malengo yako
Hatari sana.