Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,517
- 28,414
Kostas??...Tuna kikosi kizuri kwa majina 2 Sisi bhana Thiago Jota ya Yule beki mpya Yuko wap?
Ni majeruhi.
YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kostas??...Tuna kikosi kizuri kwa majina 2 Sisi bhana Thiago Jota ya Yule beki mpya Yuko wap?
Aliumia mazoezini ama?Kostas??...
Ni majeruhi.
YNWA
Aliumia mazoezini ama?
Keita ni ubaguzi wa Klopp, uyo Jota pale tumepigwa. Tumesema kitambo hapaKeita ni Failed project 💯%
My Concern ya failed project pia ipo kwa Diago Jota, just ni Concern tu.
Ondoa Chelsea hapo weweLiverpool lost 7-2 to Aston Villa
👇Aston Villa lost 3-0 to Leeds
👇Leeds lost 1-0 to Wolves
👇Wolves lost 4-0 to West Ham
👇West Ham lost 2-0 to Newcastle
👇Newcastle lost 3-0 to Brighton
👇Brighton lost 3-1 to Chelsea
👇Chelsea lost 2-0 to Liverpool.
👉 Maybe it really is the league in which anyone can beat anyone.
👉 Tujifunze kitu hapo
Leo Southampton anawala kichwa.
Mkuu na mimi nimeliona hilo leo everton anapoteza hiyo mechi na southampton.
Everton hawezi kushinda hiyo mechi akijitahidi sana draw.
You said it broMkuu na mimi nimeliona hilo leo everton anapoteza hiyo mechi na southampton.
Everton hawezi kushinda hiyo mechi akijitahidi sana draw.
. Daaaah hatariiii Sana ndo maisha yetu kila anayeletwa majeruhi vip Chermbalin nayeKostas??...
Ni majeruhi.
YNWA
. Wewe nawe vipTulia uandike vizuri.au unakimbizwa???
. Thiago na joto km c shabiki wa Liver hutojuaThiago Jota tena
Kuna yule defender wa Everton anaitwa Yerry Minna huyu jamaa dakika ya 65 tu huwa yupo Hoi vibaya pumzi inakata mapema sana ,Anaanza kazi ya Kubutua butua mipira mbele tu.
Tayari hesabu imekamilika, 2 safi.
Hata ukiweka na mwamnyeto bado ntachukua mwamnyeto nini LuizTuna imani na Fabihno mkuu..
Kutoka kucheza DM mpaka kuja kucheza RCB na ni mechi ya nne jana amecheza hapo bila kupoteza wala kutoa draw woow boy has talent..
Kwani Mkuu DullyJr ukiwa Fabby au D. Luiz acheze CB timu yako utamchukua nani...
Jota taarifa zake unazo huyu ndie new CR7 and mind you boy is 23yrs old..
Hendo playing now like a real Captain sio yule mediocre wa zamani..
YNWA
baada ya kubakwa ndio mnaomba swapHata ukiweka na mwamnyeto bado ntachukua mwamnyeto nini Luiz
Jota nimemkubali, kama vipi tufanye swap na mustafi na pepe
Huyu hata sijui anarudi lini.... Daaaah hatariiii Sana ndo maisha yetu kila anayeletwa majeruhi vip Chermbalin naye
Pepe mr shoto hahaha kwa £80m 🤓🤓🤓🙈🙈🙈huyo dogo sijui anakwama wapiiiii...Hata ukiweka na mwamnyeto bado ntachukua mwamnyeto nini Luiz
Jota nimemkubali, kama vipi tufanye swap na mustafi na pepe