Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,544
- 28,481
Kwani sio majeruhi?Lampard chizi
Ana Makipa wazuri anawaweka bench
Halafu anamuweka golini Kepa..dah
YNWA
Kwani sio majeruhi?Lampard chizi
Ana Makipa wazuri anawaweka bench
Halafu anamuweka golini Kepa..dah
Matip and Gomez fitness is highly questionable..VVD amepata rupture ya Anterior Cruciate Ligament (ACL) ambayo wataalamu wanasema matibabu yake mpaka ifanyiwe surgery! Na wanasema kupona kwake muda wa chini inahitaji Miezi 7.
Klopp with his pride was just too proud to sign CB at the right momentBad news man..
Total bad news...
Bitter one to swallow..
So itakua TAA Matip Gomez Robbo oooh dear this is very very unfortunate to imagine..
YNWA
And which guys do we have there for CB ? The only one whom I think is reliable at the Moment is FabinhoMatip and Gomez fitness is highly questionable..
Naona Fabby akiwa utilised as CB going forward..
Wakati wa usajili haya yalisemwa wenye maamuzi wasajili CB na Kalidou akawa anasemwa watapeleka ofa ila ndio hivyo hakuna ofa...
Hizi habari sio kabisa..
Najiuliza vs Atlanta na Ajax UCL itakua aje..
Kuanzia wekedi hii mpaka krismasi kuna mechi angalau 2 kila wiki ki ukweli tunahitaji kikosi kilocho kamili mno..
YNWA
Mungu atamsaidia na kupona chini ya hiyo miezi
Siku ya jana ni moja kati ya siku muhindi anapiga hela kuliko kawaida. Yan timu zisizo tegemewa kushinda ndio zinashinda halafu Mburula zilizotegemewa ndio hamna kitu kabisa.
Madrid
Barca
Inter
Juve
Liver
Chelsea
Cha kushangaza Man Utd anshinda kwa Newcastle na Atletico anashi da kwa Celta. Atleast game ya Arsenal ilijulikana watakufa tu kwa Man City.
Wale tushawazoea muda si mrefu watatoweka kabisa kwa sababu shughuli imeanza na timu yao tunaijua tia maji muda woteAiseee! Zile troublemakers za Arsenal angalau zimetoweka kupita kila Uzi na kuleta usumbufu.
Siku ya jana ni moja kati ya siku muhindi anapiga hela kuliko kawaida. Yan timu zisizo tegemewa kushinda ndio zinashinda halafu Mburula zilizotegemewa ndio hamna kitu kabisa.
Madrid
Barca
Inter
Juve
Liver
Chelsea
Cha kushangaza Man Utd anshinda kwa Newcastle na Atletico anashi da kwa Celta. Atleast game ya Arsenal ilijulikana watakufa tu kwa Man City.
Keppa ni tumbo moja na Karius baba wa Karius na baba wa Keppa ni mtu na mdogo wake.Hivi nyinyi ni kweli bado munaimani na Kepa?
Au mkataba wake unasema akiwa mzima ni lazima acheze?
Jamaa anawarudisha nyuma! Soon nitamueka kwenye kundi la Adrian na Karius.
Unabishanana wataalamu?Mungu atamsaidia na kupona chini ya hiyo miezi
Jana nilitupia draw zote sema Arse8 mshenzi kanichania ..leo ningemka na 900kSiku ya jana ni moja kati ya siku muhindi anapiga hela kuliko kawaida. Yan timu zisizo tegemewa kushinda ndio zinashinda halafu Mburula zilizotegemewa ndio hamna kitu kabisa.
Madrid
Barca
Inter
Juve
Liver
Chelsea
Cha kushangaza Man Utd anshinda kwa Newcastle na Atletico anashi da kwa Celta. Atleast game ya Arsenal ilijulikana watakufa tu kwa Man City.
Kwa iyo Arsenal ulitaka amfunge CityJana nilitupia draw zote sema Arse8 mshenzi kanichania ..leo ningemka na 900k
Aiseee! Zile troublemakers za Arsenal angalau zimetoweka kupita kila Uzi na kuleta usumbufu.
. Jitihada zetu hazionyeshi Kama Kuna k2 tunakitaka msimu huu mkuu angalia tunaongeza goli linarudishwaKisa mechi moja? Au? Tena golini akiwa Adrian?
Na aliyemfunga mwenzie 3 akashuka darajaAise mpira hauko hivyo. Msimu uliopita tulifungwa 3- 0 na Watford lakini unajua mwishoni bingwa alikuwa nani
Hawa ndio maana wanapata coronaThey are back.View attachment 1601579